Serikali yatoa tamko mabasi kusafiri usiku, msikilize Mhandisi Masauni
Автор: Azam TV
Загружено: 2023-04-13
Просмотров: 699
Описание:
Serikali imesema kuwa inaendelea na mchakato wa kutafuta utaratibu sahihi utakaowezesha kuruhusiwa kwa mabasi ya abiria kusafiri usiku katika maeneo mbalimbali nchini, huku suala la usalama wa abiria likipewa kipaumbele.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni wakati akijibu maswali bungeni jijini Dodoma na kuongeza kuwa milango iko wazi kwa wamiliki wa mabasi wanaotaka kusafirisha abiria usiku kuanzia sasa kutuma maombi yatakayoridhiwa na serikali
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: