NJIA RAHISI YA KUJENGA BANDA LA KUKU KWA GHARAMA NDOGO, PESA KIDOGO IMARA KWA MATUMIZI | Kilimopro
Автор: KilimoPro Tanzania
Загружено: 2025-12-29
Просмотров: 745
Описание:
Kiujumla, Ujenzi wa banda la kuku kwa njia rahisi unaweza kufanyika kwa kutumia material yaliyotumika kama mbao chakavu, mabati ya zamani, nondo au fito, na waya wa chuma. Kwanza chagua eneo lenye mwinuko kidogo ili kuzuia maji kusimama, kisha tengeneza fremu ya banda kwa mbao au fito imara. Kuta zinaweza kufungwa kwa mbao chakavu au mabati ya zamani, huku sehemu ya juu ikiwekwa waya wa chuma kwa ajili ya hewa ya kutosha. Paa linaweza kufunikwa kwa mabati yaliyotumika ili kulinda kuku dhidi ya mvua na jua kali. Sakafu ifunikwe kwa udongo mgumu au mbao na juu yake kuwekwa maranda au majani makavu ili kudumisha usafi. Njia hii inapunguza gharama za ujenzi na bado hutoa banda salama, rahisi kutunza na linalofaa kwa ufugaji wa kuku wa kienyeji au wa kisasa.
Endelea Kufuatilia vipindi vyetu
Wasiliana Nasi
Calls/WhatsApp +255 715 866 027
Social Media 👉 KilimoproTanzania
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: