Profesa Wainaina arejeshwa kama Naibu Chansela KU
Автор: KBC Channel 1
Загружено: 2025-04-30
Просмотров: 1754
Описание:
Prof. Paul Wainaina amerejeshwa kwenye wadhifa wake wa naibu chansela wa chuo kikuu cha Kenyatta kufuatia uamuzi wa mahakama kuu uliotangaza kwamba aliondolewa wadhifani kinyume cha sheria. Kwneye uamuzi uliotolewa leo mahakama ya ajira na mahusiano ya kikazi ilibatilisha hatua za tume ya kuwaajiri watumishi wa umma na baraza la chuo kikuu cha Kenyatta na kuagiza kwamba Prof. Wainaina arejeshwe wadhifani mara moja.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: