Mpango wa INUA JAMII kuwapa pesa wazee, walemavu na mayatima
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2019-11-15
Просмотров: 1853
Описание:
Waziri wa eba na ulinzi wa jamii balozi Ukur Yatani anazindua mpango wa shilingi bilioni 8.7chini ya mpango wa INUA JAMII ambapo wasiojiweza katika jamii, wazee, walemavu na mayatima wanafaidi malipo ya kila mwezi kutoka kwa serikali. Hii leo malipo ya mwezi wa Julai, Agosti,Septemba na Oktoba.
#SemanaCitizen
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: