MADEREVA WAZEMBE TANGA KUCHUKULIWA HATUA .
Автор: Tanga TV Online
Загружено: 2025-12-31
Просмотров: 50
Описание:
Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani mkoa wa Tanga limesema halitawafumbia macho madereva wazembe na wanaotumia kilevi wakiwa wanaendesha vyombo vya moto.
Hayo yamesemana Mrakibu mwandamizi wa Jeshi la Polisi kikosi cha Usalama barabarani mkoa wa Tanga (RTO) Willy Mwamasika wakati akizungumza na madereva pamoja na wananchi katika stendi ya Ngamiani jijini na kuwataka madereva wote wanaoendesha vyombo vya moto kutii sheria bila shuruti wanapokuwa barabarani.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: