MPANGO WA KUWEZESHA BIASHARA NA UWEKEZAJI NCHINI NA OSHA
Автор: OSHA TV ONLINE
Загружено: 2026-02-11
Просмотров: 30
Описание:
Mpango huo wa OSHA umewekwa wazi na Mtendaji Mkuu wa Taasisi hiyo, Khadija Mwenda, alipohitimisha semina ya kujenga uelewa wa pamoja baina ya OSHA na Maafisa Biashara wa Mikoa na Wilaya zote za Kanda ya Kaskazini ambao umefanyika kwa siku moja katika Ofisi za OSHA zilizopo Jengo la PAPU Jijini Arusha.
Bi.Mwenda amesema mpango huo umeibuliwa ikiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye amekuwa akielekeza Taasisi za serikali kushirikiana katika utendaji ikiwemo kuhakikisha kwamba mifumo mbalimbali ya serikali inasomana.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: