Zifahamu FAIDA za KUTII maelekezo ya KIUNGU!
Автор: PROPHET NICOLAUS SUGUYE
Загружено: 2020-05-08
Просмотров: 6421
Описание:
"Ndipo akashuka, akajichovya mara saba katika Yordani, sawasawa na neno lake yule mtu wa Mungu; nayo nyama ya mwili wake ikarudi ikawa kama nyama ya mwili wa mtoto mchanga, akawa safi." 2 Wafalme 5:14
Dhambi yoyote ni matokeo ya UASI na uasi wowote ni matokeo ya kukosa UTII. Katika historia ya uumbaji wa MUNGU kiumbe cha kwanza kukosa UTII ni shetani na malaika wachafu walio asi pamoja naye. Ndiyo maana Waraka wa kwanza wa Yohana 3:8 anasema "atendaye dhambi ni wa ibilisi......". Kwamba kila anayekosa UTII huyo anaingia katika miliki ya shetani japo kuwa kaumbwa na MUNGU.
Share Your Testimony through Whatsapp Video on +255 673 117 117
Become a TV Partner with WRM TV click here ...http://wrm.or.tz/media/wrm-tv/wrm-tv-...
CONTACT US: E-mail: [email protected]
#chief_prophet_suguye
#wrmtv
#startimes_119
#Azam_decoder_other_channel_007
#WRM_Radio_Online_https://s3.radio.co/s5f1f532c0/listen
CLICK HERE TO GIVE INSTANTLY ONLINE WITH BANK CARD
CRDB Bank
Account Number: 0150386420200
A/C Name: The Word of Reconciliation Ministries
Branch Code: 3391
Branch Name: Azikiwe Premier
SWIFT CODE CORUTZTZ
Or PAY FOR M-PESA CODE 5753340 NAME: The Word of Reconciliation Ministries or +255 763 813 307
TIGOPESA +255 655 448 116
AIRTEL MONEY +255 688 448 117
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: