ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

MKUU WA JKT, Meja Jenerali Rajabu Mabele, Azindua Mitambo ya Kuchakata Zege

Автор: Ulinzi Channel

Загружено: 2023-05-23

Просмотров: 1563

Описание: Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Jenerali Rajabu Nduku Mabele, leo Mei 23, 2023 amezindua Mitambo ya kuzalisha zege ‘Concrete Bunching plants, Concrete truck Mixer pamoja na Concrete pump, itakayotumiwa na SUMAJKT Construction Company Limited’ eneo la Mwangaza Jijini Dodoma.

Akitoa hotuba wakati wa Uzinduzi, Mkuu wa JKT ambae pia ndie Afisa Mtendaji Mkuu wa SUMAJKT, ameipongeza Menejimenti ya Shirika pamoja na Uongozi wote wa SUMAJKT Construction Company Limited, kwa uamuzi wa kununua mitambo hiyo ambayo kwa kiasi kikubwa itarahisisha utendaji kazi pamoja na kuongeza tija.

Aidha, Meja Jenerali Rajabu Mabele, ameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais na Amiri Jeshi Mkuu, kwa kuendelea kuiamini JKT kwa kuipatia miradi mbalimbali ya Serikali.

Akihitimisha Hotuba yake, Mkuu wa JKT, amewataka watendaji wote watakaokabidhiwa kuendesha Mitambo hiyo, kuitunza na matengengenezo (service) yake iwe inafanyika kwa wakati ili ilete tija inayokusudiwa.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Bodi ya SUMAJKT, Meja Jenerali Farah Mohamed (Mstaafu), amepongeza ununuzi wa Mitambo hiyo mipya na ya kisasa kwamba itaongeza thamani katika Shirika kwa kuwa na ubora wa bidhaa zitakazo zalishwa, urahisi wa upatikanaji wake, gharama za uzalishaji zitapungua na pia muda wa uzalishaji utapungua kuliko ilivyokuwa hapo awali.

Naye Mkurugenzi wa SUMAJKT, Kanali Petro Ngata, amewapongeza watendaji wote kwa ushirikiano ili kuhakikisha Shirika linafikia malengo ya ukuaji, kuongeza mapato na kujenga uwezo wa Shirika kuendelea kuwekeza katika miradi mipya na vitendea kazi.

Akielezea matumizi ya Mitambo hiyo, Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni ya Ujenzi ya SUMAJKT CONSTRUCTION COMPANY LIMITED, Injinia Morgan Nyoni, amesema baada ya kupokea Mitambo hiyo, tayari usimikwaji umekamilika na uwepo wake utaongeza kipato kwa Kampuni ya Ujenzi na Shirika kwa ujumla kwa kuwa hitajio la zege Jijini Dodoma ni kubwa na itaongeza imani kiutendaji kutoka kwa washitiri.
#wizarayaulinzi #jwtz #jkt

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
MKUU WA JKT, Meja Jenerali Rajabu Mabele, Azindua Mitambo ya Kuchakata Zege

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMKABIDHI MKUU WA MAJESHI WA KWANZA MSTAAFU TANZANIA GARI JIPYA LA KISASA

WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMKABIDHI MKUU WA MAJESHI WA KWANZA MSTAAFU TANZANIA GARI JIPYA LA KISASA

Как работает АВТОБЕТОНОНАСОС?

Как работает АВТОБЕТОНОНАСОС?

WAZIRI WA ULINZI & JKT AFANYA ZIARA KUKAGUA BARABARA KUELEKEA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA KIKOMBO

WAZIRI WA ULINZI & JKT AFANYA ZIARA KUKAGUA BARABARA KUELEKEA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA KIKOMBO

JKT WAZINDUA KITUO CHA MAFUTA, MKUU WA MAJESHI YA ULINZI AZUNGUMZA

JKT WAZINDUA KITUO CHA MAFUTA, MKUU WA MAJESHI YA ULINZI AZUNGUMZA

WAZIRI WA ULINZI  NA JKT AHITIMISHA RASMI MAFUNZO YA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU DULUTI

WAZIRI WA ULINZI NA JKT AHITIMISHA RASMI MAFUNZO YA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU DULUTI

HOTUBA YA RAIS DKT.  JOHN POMBE MAGUFULI  ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM

HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM

Почки скажут вам: всего 1 стакан перед сном и ночные походы в туалет исчезнут | ПАМЯТЬ И МОЗГ

Почки скажут вам: всего 1 стакан перед сном и ночные походы в туалет исчезнут | ПАМЯТЬ И МОЗГ

Путин остановил огонь / Срочный приказ прекратить удары

Путин остановил огонь / Срочный приказ прекратить удары

«Люди повертаються, бо будинки розграбовані»: прифронтова Дніпропетровщина / hromadske

«Люди повертаються, бо будинки розграбовані»: прифронтова Дніпропетровщина / hromadske

Washukiwa watatu wa wizi wa mifugo , wachomwa na wakazi Makueni

Washukiwa watatu wa wizi wa mifugo , wachomwa na wakazi Makueni

Карабахцы возвращаются в благоустроенные селения | Трамп недоволен Кубой

Карабахцы возвращаются в благоустроенные селения | Трамп недоволен Кубой

WAZIRI WA ULINZI DKT. STERGOMENA TAX Awaaga Watumishi wa Wizara na Kuwapa Ujumba huu...

WAZIRI WA ULINZI DKT. STERGOMENA TAX Awaaga Watumishi wa Wizara na Kuwapa Ujumba huu...

Ziara ya Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb)  Mtabila JKT & Bulombora JKT

Ziara ya Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) Mtabila JKT & Bulombora JKT

Почему Башенный Кран НЕ ПАДАЕТ?!

Почему Башенный Кран НЕ ПАДАЕТ?!

Почему зарядка после 60 ускоряет потерю мышц? Парадокс сардинских долгожителей | ЗДОРОВЬЕ ДАРОМ

Почему зарядка после 60 ускоряет потерю мышц? Парадокс сардинских долгожителей | ЗДОРОВЬЕ ДАРОМ

HOTUBA YA MNADHIMU MKUU WA JWTZ - AZAM TWO

HOTUBA YA MNADHIMU MKUU WA JWTZ - AZAM TWO

WAZIRI WA ULINZI NA JKT , Dkt Stergomena Tax, Akiwasilisha Hotuba ya Bajeti Bungeni Tarh 20 Mei 2025

WAZIRI WA ULINZI NA JKT , Dkt Stergomena Tax, Akiwasilisha Hotuba ya Bajeti Bungeni Tarh 20 Mei 2025

💥50 000 трупов ежемесячно! Россия выкачивала все из Крыма и Донбасса и БРОСИЛА ЛЮДЕЙ // @ComTVUA

💥50 000 трупов ежемесячно! Россия выкачивала все из Крыма и Донбасса и БРОСИЛА ЛЮДЕЙ // @ComTVUA

⚡МОСКВА ВНЕЗАПНО ОБРАТИЛАСЬ К ЗЕЛЕНСКОМУ! Мир вздрогнул от решения Кремля. Вот что сказали у Путина

⚡МОСКВА ВНЕЗАПНО ОБРАТИЛАСЬ К ЗЕЛЕНСКОМУ! Мир вздрогнул от решения Кремля. Вот что сказали у Путина

KUFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA_WILAYA YA IGUNGA.Director zengo saida.

KUFUNGA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA_WILAYA YA IGUNGA.Director zengo saida.

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]