ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

WAZIRI WA ULINZI DKT. STERGOMENA TAX Awaaga Watumishi wa Wizara na Kuwapa Ujumba huu...

Автор: Ulinzi Channel

Загружено: 2025-10-18

Просмотров: 3673

Описание: Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax tarehe 16 Oktoba, 2025 amefanya mazungumzo na Wafanyakazi wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ambapo pamoja na mambo mengine ametumia wasaa huo kuwaaga wafanyakazi baada ya kumaliza muda wake wa Utumishi Kikatiba katika wizara ya Ulinzi kufuatia Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025 nchini kote.

Waziri Stergomena amezungumza na kuwaaga Wafanyakazi hao katika Ukumbi wa Mabele wa Jijini Dodoma na kuwashukuru wafanyakazi wa Wizara kwa ushirikiano wao waliomuonyesha na kumpatia katika kipindi chote alichohudumu kama Waziri wa Ulinzi.

Amewashukuru wafanyakazi hao kwa mshikamano waliouonyesha, kujituma, uadilifu na moyo wa kizalendo na Weledi wa kila mmoja kwa nafasi yake waliomuonyesha kwa muda wote wa utumishi wake.

“Waswahili husema Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu kauli hii imejidhililisha wazi katika Utendaji wetu”, akaongeza, “hata ukiwa na uwezo mkubwa kiasi gani ni vigumu kufanikisha mambo peke yako hususani mambo makubwa, hata ukijigamba kuwa umefanikisha peke yako uhalisia utaonyesha kuwa ipo michango kwa waliokusaidia au ulioshirikiana nao hivyo basi natambua mchango wa kila mmoja wenu” alisisitiza Waziri Stergomena Tax.

Waziri wa Ulinzi na JKT, Dkt Stergomena, akachukua fursa hiyo pia kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kumuamini na kumteua kuhudumu katika nafasi hiyo adhimu kama Wazari wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa kwa mara mbili Septemba 2021 hadi Oktoba 2022 na mara ya pili Agosti 2023 hadi sasa Oktoba 2025 ambapo amehudumu katika Wizara ya Ulinzi na JKT kwa jumla miaka mitatu.

Awali akimkaribisha Waziri wa Ulinzi ili aongee na wafanyakazi, Katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi na JKT Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe alimpongeza Waziri Stergomena kwa uongozi wake mahiri na kusema anajivunia kwa kuwa amekuwa Katibu Mkuu wa kwanza kuongozwa na Waziri wa Ulinzi na JKT wa kwanza Mwanamke tangu nchi yetu ipate Uhuru.

Hafla ya Waziri wa Ulinzi na JKT kuongea na kuwaaga Wafanyakazi ilihudhuriwa pia na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara ya Ulinzi, Makamishna wa Wizara, Maafisa Jenerali, Maafisa wakuu na wadogo na askari pamoja na watumishi wa umma wa Wizara ya Ulinzi na JKT.

#wizarayaulinzi #jwtz #jkt #DktStergomenaTax #WaziriwaUlinzi

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
WAZIRI WA ULINZI DKT. STERGOMENA TAX Awaaga Watumishi wa Wizara na Kuwapa Ujumba huu...

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMKABIDHI MKUU WA MAJESHI WA KWANZA MSTAAFU TANZANIA GARI JIPYA LA KISASA

WAZIRI WA ULINZI NA JKT AMKABIDHI MKUU WA MAJESHI WA KWANZA MSTAAFU TANZANIA GARI JIPYA LA KISASA

WAZIRI WA ULINZI  NA JKT AHITIMISHA RASMI MAFUNZO YA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU DULUTI

WAZIRI WA ULINZI NA JKT AHITIMISHA RASMI MAFUNZO YA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU DULUTI

Министр д-р Ньянсахо открыл заседание Совета сотрудников Министерства обороны и Джамму и Кашмира.

Министр д-р Ньянсахо открыл заседание Совета сотрудников Министерства обороны и Джамму и Кашмира.

UTOAJI WA ZAWADI. Waliofanya Vizuri RTS Kihangaiko

UTOAJI WA ZAWADI. Waliofanya Vizuri RTS Kihangaiko

WAZIRI WA ULINZI & JKT AFANYA ZIARA KUKAGUA BARABARA KUELEKEA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA KIKOMBO

WAZIRI WA ULINZI & JKT AFANYA ZIARA KUKAGUA BARABARA KUELEKEA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA KIKOMBO

Exclusive- Mji uliopo kati kati ya BAHARI,umejengewa UKUTA wa ajabu na WAJERUMANI,wazee huzuia mvua?

Exclusive- Mji uliopo kati kati ya BAHARI,umejengewa UKUTA wa ajabu na WAJERUMANI,wazee huzuia mvua?

WAZIRI WA ULINZI NA JKT AFUNGUA ZOEZI LA PAMOJA LA KIJESHI KATI YA TANZANIA NA INDIA

WAZIRI WA ULINZI NA JKT AFUNGUA ZOEZI LA PAMOJA LA KIJESHI KATI YA TANZANIA NA INDIA

Ziara ya Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb)  Mtabila JKT & Bulombora JKT

Ziara ya Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe. Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) Mtabila JKT & Bulombora JKT

WAZIRI WA ULINZI NA JKT , Dkt Stergomena Tax, Akiwasilisha Hotuba ya Bajeti Bungeni Tarh 20 Mei 2025

WAZIRI WA ULINZI NA JKT , Dkt Stergomena Tax, Akiwasilisha Hotuba ya Bajeti Bungeni Tarh 20 Mei 2025

Wizara ya Ulinzi & JKT, Dkt Tax Azindua Majadiliao ya Mapitio Mtaala Mpya Chuo Cha Taifa cha Ulinzi

Wizara ya Ulinzi & JKT, Dkt Tax Azindua Majadiliao ya Mapitio Mtaala Mpya Chuo Cha Taifa cha Ulinzi

Former President Uhuru Kenyatta eulogizes Raila

Former President Uhuru Kenyatta eulogizes Raila

SHEIKH PONDA AELEZA UKUBWA WA VIKOSI VYA UTEKAJI AKITAKA KUJUWA NYUMA YAO YUPO NANI

SHEIKH PONDA AELEZA UKUBWA WA VIKOSI VYA UTEKAJI AKITAKA KUJUWA NYUMA YAO YUPO NANI

JAJI MFAWIDHI WA MAHAKAMA KUU, DAR ES SALAAM, MHE.  MAGHIMBI AWAKARIBIASHA WANANCHI SIKU YA SHERIA

JAJI MFAWIDHI WA MAHAKAMA KUU, DAR ES SALAAM, MHE. MAGHIMBI AWAKARIBIASHA WANANCHI SIKU YA SHERIA

SHUHUDIA ULIPOFIKA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE SHINYANGA, RC MHITA ATEMBELEA UJENZI WAKE, NDEGE KUBWA.

SHUHUDIA ULIPOFIKA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE SHINYANGA, RC MHITA ATEMBELEA UJENZI WAKE, NDEGE KUBWA.

Meneja wa Arusha Airport afunguka: Ongezeko la abiria, Miruko ya Ndege ,Safari za Ndani na Kimataifa

Meneja wa Arusha Airport afunguka: Ongezeko la abiria, Miruko ya Ndege ,Safari za Ndani na Kimataifa

WAZIRI WA ULINZI TAX ATOA UJUMBE MZITO KABLA YA KUONDOKA WIZARANI!

WAZIRI WA ULINZI TAX ATOA UJUMBE MZITO KABLA YA KUONDOKA WIZARANI!

JKT LAONYA WANAOGHUSHI VYETI VYA JKT ILI KUPATA SIFA ZA KUAJIRIWA

JKT LAONYA WANAOGHUSHI VYETI VYA JKT ILI KUPATA SIFA ZA KUAJIRIWA

Nawet Tyson się go bał! Butterbean – najgroźniejszy nokauter wagi superciężkiej

Nawet Tyson się go bał! Butterbean – najgroźniejszy nokauter wagi superciężkiej

''NILIMWAMBIA DADA LAZIMA TUTAJIRIKE AU TUFE TUKIJARIBU'' - ERIC SHIGONGO | UNAMUELEWA MWALIMU?..

''NILIMWAMBIA DADA LAZIMA TUTAJIRIKE AU TUFE TUKIJARIBU'' - ERIC SHIGONGO | UNAMUELEWA MWALIMU?..

HOTUBA NZIMA YA WAZIRI WA ULINZI NA JKT DKT. STERGOMENA TAX AKIFUNGUA KONGAMANO LA WANAWAKE ARUSHA

HOTUBA NZIMA YA WAZIRI WA ULINZI NA JKT DKT. STERGOMENA TAX AKIFUNGUA KONGAMANO LA WANAWAKE ARUSHA

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]