TAKUKURU RUVUMA YADHIBITI UPOTEVU WA SHILINGI MILIONI 10
Автор: RUVUMA RS
Загружено: 2026-02-25
Просмотров: 25
Описание:
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Ruvuma imefanikiwa kudhibiti na kurejesha kiasi cha shilingi milioni 10, ambazo ni makusanyo ya ushuru kwa njia ya POS katika Halmashauri ya Tunduru.
Akitoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya taasisi hiyo kwa kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2025, Naibu Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma, Bw. Arterio Kawonga, amesema fedha hizo zilikusanywa lakini hazikuingizwa kwenye akaunti ya halmashauri kama inavyotakiwa.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: