RC RUVUMA AKAGUA SHUGHULI ZA UCHIMBAJI MAKAA YA MAWE
Автор: RUVUMA RS
Загружено: 2026-02-03
Просмотров: 19
Описание:
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed, amefanya ziara ya kukagua shughuli za uchimbaji wa makaa ya mawe katika kampuni za Ruvuma Coal na Jitegee, zilizopo Wilaya ya Mbinga.
Ziara hiyo imelenga kuona maendeleo ya uwekezaji mkubwa unaoendelea mkoani humo na kulinganisha hali ya uzalishaji na mwelekeo wa soko la dunia ambalo kwa sasa inaelezwa kuwa limeporomoka, hali inayochangia kupunguza mapato ya Mkoa na Taifa kwa ujumla.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: