LEMA ATINGA KITUO CHA POLISI
Автор: Mwananchi Digital
Загружено: 2018-10-22
Просмотров: 9439
Описание:
Mbunge wa jimbo la Arusha mjini, Godbless Lema ameripoti makao makuu ya jeshi la polisi jijini Arusha.
Lema amefika polisi saa 4:55 akiwa kwenye gari lake aina Benzi ya zamani na kuingia moja kwa moja eneo la kuegesha magari ya polisi ndani ya kituo kikuu cha polisi lakini akatakiwa kuondoa gari hilo na kuegesha nje.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: