Hali ya wasiwasi imewazonga wagonjwa wa HIV
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2025-01-30
Просмотров: 16720
Описание: Hali ya wasiwasi imewazonga wagonjwa na mashirika ambayo hutegemea marekani kwa misaada ya kifedha kukabiliana na makali ya Ukimwi. Hapo awali marekani ilitangaza kustisha msaada wa kifedha kwa mashirika ambayo yanahusika katika kukabiliana na magonjwa hatari ukiwemo ugonjwa wa ukimwi lakini uamuzi huo ulibatilishwa baadaye. Waziri wa mambo ya Nje Marco Rubio amesema sasa Marekani itaendelea na usaidizi huo lakini kwa masharti.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: