HOJA MEZANI | Mvutano wa mataifa makubwa unayumbisha misimamo ya Afrika?
Автор: UTV Tanzania
Загружено: 2025-03-26
Просмотров: 2705
Описание:
Mchambuzi wa Uchumi, Walter Nguma ameelezea jinsi nchi nyingi za Afrika zimekuwa zikichagua upande wa mataifa makubwa kwa kuzingatia nguvu ya kiuchumi kwa kuweza kukopesheka kirahisi, kupata misaada na taifa ambalo lina ushawishi mkubwa duniani.
Na hivyo kupelekea nchi hizo kutokuwa na upande mmoja huku ikiacha Afrika kutoweza kuikwepa Marekani.
Fuatilia ,mahojiano kamili kwenye ukurasa wetu wa youtube #UTVTanzania kupitia link hii
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: