ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

Waziri Magufuli achukua fomu kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais kupitia CCM

Автор: Grann Chaco

Загружено: 2015-06-04

Просмотров: 327063

Описание: Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alisaini kitabu kabla ya kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM mkoani Dodoma. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (Nec) ya Idara ya Oganizesheni, Dk. Mohamed Seif Khatibu ndiye aliyemkabidhi fomu Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli.

Safari ya chama cha mapinduzi ya kupata mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu ujao imeendelea kushika kasi baada ya makada sita wa chama hicho kuchukua fomu hii leo tarehe 04.06.2015 na kufanya jumla ya makada 11 wa chama hicho kujitokeza ndani ya siku mbili tangu zoezi hilo lifunguliwe rasmi june tatu mwaka huu.

Miongoni mwa waliojitokeza kuchukua fomu hii leo ni pamoja na waziri mkuu mstaafu awamu ya tisa Mhe Edward Lowassa mbunge wa jimbo la Monduli ambaye amejinadi kuwa hana mpango wa kushindwa na amechoka na siasa za matusi na tuhuma na kudai kuwa hiyo sio demokrasia kwa viongozi wenye nia ya kweli ya kulikomboa taifa.

Mwingine ni aliyewahi kuwa waziri mkuu wa awamu ya nane Fredrick Sumaye ambaye amebainisha kuwa endapo atapata ridhaa ya chama hicho ya kuwania urais na kushinda atahakikisha anatokomeza kabisa tatizo sugu la rushwa kwa kuunda vyombo maalum ikiwemo mahakama ya wala rushwa huku akitumia rasilimali za asili zilizoko nchini kuinua uchumi wa watanzania.

Kada mwingine aliyejitokeza ni John Pombe Magufuli ambaye hivi sasa ni waziri wa ujenzi lakini pia amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini na ndani ya CCM kwa ufanisi wa hali ya juu ambaye yeye ametamba kipaumbele chake cha kwanza ni kutekeleza kwa vitendo ilani ya chama cha mapinduzi.

Makada wengine waliojitokeza ni makamu wa rais Dk Mohamed Gharib Bilal, balozi Ali Karume na mwanafunzi wa chuo kikuu cha Mzumbe Morogoro Amos Siyatenzi huku makada wengine zaidi wakitarajiwa kujitokeza katika muda ambao chama hicho kimeweka kuanzia june 3 mpaka jully 2.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
Waziri Magufuli achukua fomu  kuomba Kuteuliwa Kugombea Urais kupitia CCM

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

Magufuli Akishukuru chama Kumteua Kugombea Nafasi Ya Urais.

Magufuli Akishukuru chama Kumteua Kugombea Nafasi Ya Urais.

Makala ya siku tano za kwanza kwa Rais Dkt John Pombe Magufuli Ikulu

Makala ya siku tano za kwanza kwa Rais Dkt John Pombe Magufuli Ikulu

Rais Kikwete alipoendesha vikao vya CCM vya uteuzi wa Mgombea Urais Dodoma

Rais Kikwete alipoendesha vikao vya CCM vya uteuzi wa Mgombea Urais Dodoma

Taarifa ya Uteuzi wa Mgombea wa urais CCM.

Taarifa ya Uteuzi wa Mgombea wa urais CCM.

Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

Hotuba ya uzinduzi wa Bunge la 11 dodoma Nov 20,2015

0CTOBER 31,2016 ZIARA YA MH RAIS MAGUFULI NCHINI KENYA PARTY ONE

0CTOBER 31,2016 ZIARA YA MH RAIS MAGUFULI NCHINI KENYA PARTY ONE

TAZAMA SHANGWE LA WABUNGE BAADA YA JINA LA MAJALIWA KUTEULIWA NA JPM KUWA WAZIRI MKUU

TAZAMA SHANGWE LA WABUNGE BAADA YA JINA LA MAJALIWA KUTEULIWA NA JPM KUWA WAZIRI MKUU

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI MJINI KATESH BAADA YA KUSIMAMISHWA NA WANANCHI 06 MAY 2016 mp4

HOTUBA YA RAIS MAGUFULI MJINI KATESH BAADA YA KUSIMAMISHWA NA WANANCHI 06 MAY 2016 mp4

HOTUBA YA RAIS DKT.  JOHN POMBE MAGUFULI  ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM

HOTUBA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ALIPOWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA - IKULU DSM

Yaliyopamba kampeni za Dkt John  Magufuli katika Safari ya Ikulu

Yaliyopamba kampeni za Dkt John Magufuli katika Safari ya Ikulu

LOWASSA AJIUZULU UWAZIRI MKUU

LOWASSA AJIUZULU UWAZIRI MKUU

Magufuli: Marais wa EAC wamefanya kosa sana kunichagua mwenyekiti

Magufuli: Marais wa EAC wamefanya kosa sana kunichagua mwenyekiti

DR MAGUFULI AKAGUA NDUNDU SOMANGA 65 KM I

DR MAGUFULI AKAGUA NDUNDU SOMANGA 65 KM I

KIPINDI MAALUM   RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA MWENYEKITI WA BARRICK GOLD CORPORATION  JUNE 17,2017

KIPINDI MAALUM RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA MWENYEKITI WA BARRICK GOLD CORPORATION JUNE 17,2017

DKT.BILAL NA DKT.MAGUFULI WALIPOKAGUA MZANI WA VIGWAZA

DKT.BILAL NA DKT.MAGUFULI WALIPOKAGUA MZANI WA VIGWAZA

HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013

HUYU NI MHE JOHN POMBE MAGUFULI 14 Nov 2013

Lowassa bungeni1 3

Lowassa bungeni1 3

🔥Путин огласил ТАКОЕ, что в США НАЧАЛАСЬ КАТАСТРОФА! Трампу грозит ИМПИЧМЕНТ. САВОСТЬЯНОВ & ГАЛЛЯМОВ

🔥Путин огласил ТАКОЕ, что в США НАЧАЛАСЬ КАТАСТРОФА! Трампу грозит ИМПИЧМЕНТ. САВОСТЬЯНОВ & ГАЛЛЯМОВ

Magufuli atangaza Baraza la Mawaziri

Magufuli atangaza Baraza la Mawaziri

MAGUFULI BILA KUPEPESA MACHO AMPA MAKAVU WAZIRI MKUU

MAGUFULI BILA KUPEPESA MACHO AMPA MAKAVU WAZIRI MKUU "WAKUOMBEA, MIAKA 10 NI PROBABILITY"

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]