TANZANIA na UGANDA KUANZA KUUZA MAFUTA JULAI 2025 KUPITIA EACOP - RAIS SAMIA AFUNGUKA....
Автор: Global TV Online
Загружено: 2026-02-08
Просмотров: 439
Описание:
TANZANIA na UGANDA KUANZA KUUZA MAFUTA JULAI 2025 KUPITIA EACOP - RAIS SAMIA AFUNGUKA....
CC; BAKARI MAHUNDU
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amesema ifikapo Julai mwaka huu, huenda meli ya kwanza ikasafiri kutoka Tanga nchini Tanzania kusafirisha mafuta yanayotokana na Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwenda kuuza mataifa ya nje.
Hatua hiyo ni baada ya matarajio ya kukamilika kwa mradi huo, ambao mkataba wa mwisho wa uwekezaji kati ya nchi hizo, ulisainiwa Februari 1, mwaka 2022, kuruhusu utekelezaji na hatimaye uko mbioni kukamilika.
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: [email protected]
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: