TAHARUKI YAIBUKA MWANAMKE AKIDAIWA KUUZA ENEO la MAKABURI - MWENYEWE AJIBU TUHUMA na NYARAKA KIBAO..
Автор: Global TV Online
Загружено: 2026-02-07
Просмотров: 2612
Описание:
TAHARUKI YAIBUKA MWANAMKE AKIDAIWA KUUZA ENEO la MAKABURI - MWENYEWE AJIBU TUHUMA na NYARAKA KIBAO - WANANCHI WAILILIA SERIKALI..
@GODMUYA @ZACHARIA JUMA - DAR
CC; BAKARI MAHUNDU
Ni kutoka Kimani mtaa wa Kinyamwezi kata ya Pugu ambapo kuna mgogoro kati ya wananchi pamoja na wananchi ambao wanadai Bi Elizabeth Simon yupo katika eneo hilo kinyuma na taratibu, ambapo eneo hilo ni eneo maalumu ambalo wameelekezwa na serikali ya mtaa kuwa ni eneo ya maziko.
Aidha wananchi hao wanadai Mama huyo amefukua makaburi hayo na kwenda kutupa mabaki ya miili ya wapendwa wao.
Kwa upande wa Mtuhumiwa huyo amezungumza na GlobalTV na kufafanua kilichotokea na kukana kufukua makaburi hayo na pia ameonesha nyaraka za mahakamani za kushinda kesi hiyo ambapo mahakama ilimpa maelekezo ya nini cha kufanya.
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: [email protected]
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: