BANGI INAHARIBU UZAZI
Автор: CLOUDSMEDIA
Загружено: 2022-06-30
Просмотров: 798
Описание:
"Sisi ni mamlaka ya kudhibiti na Kupambana na Dawa za kulevya tunasimamia sheria yetu Mama inayozuia kwamba Bangi hairuhisiwi na ni zao haramu. Kwahiyo kwenye hizo nchi zingine zinazoruhusu bangi na sisi turuhusu sio kazi yetu. Sisi tunasubiri amri tu hii imekuwa Sheria au sio sheria sisi tunaendelea. Wanasayansi wameshafanya utafiti madhara ya Dawa za kulevya Leo uniambie bangi iruhusiwe kutumika siwezi kuruhusu hata mara moja Kwa sababu najua madhara ya Dawa hizi.
"Bangi ni mbaya inaharibu akili, inaleta Kansa ya Koo, ya mapafu inaharibu via vya uzazi" Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya, Gerald Kusaya.
#LiveOnClouds360
#HakunaKuleft
Tazama LIVE 📺 @Cloudstv kupitia | Azam channel no 403| Dstv no 387| Startimes no 109| antenna/497
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: