Watano wajitosa uenyekiti CUF, Prof. Lipumba ashindwa kutoa msimamo
Автор: UTV Tanzania
Загружено: 2024-08-29
Просмотров: 839
Описание:
Vigogo watano wamejitosa kuwania uenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, ambapo baadhi ya makada wanasema mwenyekiti wao wa sasa Prof. Ibrahim Lipumba huenda akawa miongoni mwao baada ya kudumu katika nafasi hiyo kwa muda wa miaka 25.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: