ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

CHAMA CHA WANANCHI CUF MTWARA, WAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KURUHUSU MIKUTANO YA HADHARA.

Автор: Faida Online TV

Загружено: 2023-02-13

Просмотров: 1673

Описание: Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Taifa Mh. Maftaha Abdallah Nachuma, Jana Februali 12 2023, ameongoza Mkutano wa hadhara wa Chama hicho Mtwara vijijini uliofanyika katika Kijiji cha Msangamkuu na kuhudhuriwa na Viongozi na Wanachama mbalimbali kuanzia ngazi ya Vitongoji hadi Taifa huku akitumia nafasi hiyo kumpongeza Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Samia Suluhu Hassan kwa kutoa ruksa kwa Vyama vya siasa kuendelea kufanya Mikutano ya hadhara.

Nae Mbunge wa Jimbo la Mtwara Vijijini Mh. Shamsia Aziz Mtamba, ameongezea katika kumpongeza Mh. Rais huku akisisitiza kuwa yeye ni Mbunge anaefanya kazi na watu wa Vyama vyote.

USISAHAU KU SUBSCRIBE YOUTUBE CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV KISHA BONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZETU

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
CHAMA CHA WANANCHI CUF MTWARA, WAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KURUHUSU MIKUTANO YA HADHARA.

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

MAPOKEZI YA PROFESA LIPUMBA MTWARA AKIWA NA MHE. SHAMSIA MBUNGE WA MTWARA VIJIJINI.

MAPOKEZI YA PROFESA LIPUMBA MTWARA AKIWA NA MHE. SHAMSIA MBUNGE WA MTWARA VIJIJINI.

UTACHEKA... RC MAKONGORO AWAVUNJA MBAVU WANANCHI AKIKAGUA MRADI WA MAJI

UTACHEKA... RC MAKONGORO AWAVUNJA MBAVU WANANCHI AKIKAGUA MRADI WA MAJI

Chama cha CUF chafanya kampeni Mtwara

Chama cha CUF chafanya kampeni Mtwara

HISTORIA YA WAMAKONDE NA CHIMBUKO LAO| WALIPIGWA VITANI NA WACHIMBULI | NINI SABABU YA KUVAA NDONYA

HISTORIA YA WAMAKONDE NA CHIMBUKO LAO| WALIPIGWA VITANI NA WACHIMBULI | NINI SABABU YA KUVAA NDONYA

Aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Mikindani kupitia CUF ahamia CCM! Msikilize...

Aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Mikindani kupitia CUF ahamia CCM! Msikilize...

Mwili wa Kadinali Pengo Ulivyoshushwa Kaburini

Mwili wa Kadinali Pengo Ulivyoshushwa Kaburini

Watano wajitosa uenyekiti CUF, Prof. Lipumba ashindwa kutoa msimamo

Watano wajitosa uenyekiti CUF, Prof. Lipumba ashindwa kutoa msimamo

MBUNGE SHAMSIA ATOA BATI 400 NA BOLITI 850 KWA AJILI YA MSIKITI MTWARA.

MBUNGE SHAMSIA ATOA BATI 400 NA BOLITI 850 KWA AJILI YA MSIKITI MTWARA.

Walichokizungumza Wabunge Wapya wa CUF, Makao Makuu ya Chama

Walichokizungumza Wabunge Wapya wa CUF, Makao Makuu ya Chama

Mkutano wa Chama Cha Wananchi CUF BUBUBU; Terehe 22 Septemba 2012; Part 3

Mkutano wa Chama Cha Wananchi CUF BUBUBU; Terehe 22 Septemba 2012; Part 3

Chama Cha Wananchi 'CUF' kimeitaka  serikali chukua hatua zaidi ya kupambana na ugonjwa wa corona

Chama Cha Wananchi 'CUF' kimeitaka serikali chukua hatua zaidi ya kupambana na ugonjwa wa corona

SOKO KUBWA la KISASA na STENDI ya MABASI Vilivyonogesha MTWARA

SOKO KUBWA la KISASA na STENDI ya MABASI Vilivyonogesha MTWARA

HUU NDIO WIMBO WA TAIFA UTAKAOTUMIKA TANZANIA ENDAPO CUF WATAPATA NAFASI YA KUINGIA MADARAKANI

HUU NDIO WIMBO WA TAIFA UTAKAOTUMIKA TANZANIA ENDAPO CUF WATAPATA NAFASI YA KUINGIA MADARAKANI

USALAMA WAIMARIKA BODA YA KILAMBO MTWARA| WANANCHI WAVIPONGEZA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA

USALAMA WAIMARIKA BODA YA KILAMBO MTWARA| WANANCHI WAVIPONGEZA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA

DKT. NCHIMBI APEWE ULINZI NCHIMBI KACHOMOA BETRI

DKT. NCHIMBI APEWE ULINZI NCHIMBI KACHOMOA BETRI "SIPENDI MNAVYOGONA KIVYAMA"

SIKU 100 ZA MAMA SAMIA MKURANGA YATENGA MAENEO KWA AJILI YA KONGANI YA VIWANDA

SIKU 100 ZA MAMA SAMIA MKURANGA YATENGA MAENEO KWA AJILI YA KONGANI YA VIWANDA

Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha

Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha

KISA CHA CHAMA CHA CUF MTWARA KUFUNGIWA KUFANYA KAMPENI KWA SIKU KUMI.

KISA CHA CHAMA CHA CUF MTWARA KUFUNGIWA KUFANYA KAMPENI KWA SIKU KUMI.

HAPA HAMAD MASOUD KACHAGUA LIPUMBA NA WENGINE WAJIPANGE KUNA MWANAHARAKATI GANI WAKIKE ALOMZIDI

HAPA HAMAD MASOUD KACHAGUA LIPUMBA NA WENGINE WAJIPANGE KUNA MWANAHARAKATI GANI WAKIKE ALOMZIDI

Tazama Chama cha wananchi CUF kilivyozoa vigogo wa Chadema Mtwara Vijijini

Tazama Chama cha wananchi CUF kilivyozoa vigogo wa Chadema Mtwara Vijijini

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]