ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

MAAFISA WA ZAMANI WA DOCKERWOKERS WAITAKA SERIKALI KUONGEZA MKATABA WA CAPT RUTO

Автор: Al Shifaa Television Kenya

Загружено: 2026-01-15

Просмотров: 248

Описание: Sehemu ya maafisa wa zamani wa Chama cha Wafanyakazi wa Bandari, Dockworkers’ Union (DWU), wamejitokeza tena kuisihi serikali kuhuisha mkataba wa Kapteni Ruto unaotarajiwa kukamilika ndani ya robo ya kwanza ya mwaka huu.
Wakiongozwa na Paul Abisa kwa niaba ya jamii ya bandari, maafisa hao wamempongeza Kapteni Ruto kwa mafanikio makubwa aliyopata, ikiwemo kushughulikia tani milioni 2.145 za makontena aina ya twenty-foot equivalent units (TEUs).
Abisa amesema ongezeko hilo ni hatua kubwa ikilinganishwa na miaka ya awali, akisisitiza kuwa mafanikio hayo si takwimu za kawaida bali ni ishara ya maendeleo ya kweli.

Abisa alikuwa akizungumza na wanahabari katika bustani ya High Level, eneo la Mvita, kaunti ya Mombasa.Afisa huyo wa zamani wa DWU ametoa wito kwa serikali kuzingatia rekodi ya utendaji wa Kapteni Ruto na kuhakikisha mkataba wake unahuishwa kwa misingi ya mafanikio aliyoyapata.
Akiandamana na mwenzake wa zamani wa DWU, Wycliffe Baraza, Abisa amekanusha madai kuwa tathmini yao ni ya kihisia, akisema inategemea takwimu na matokeo halisi ya kipindi cha miaka mitatu tangu Kapteni Ruto alipoteuliwa.
Ameeleza kuwa Mkurugenzi Mkuu huyo anaifahamu bandari kwa undani mkubwa kutokana na uzoefu wake wa muda mrefu katika nyadhifa mbalimbali ndani ya KPA kabla ya kuteuliwa kuwa kiongozi mkuu.
Kwa upande wake, Baraza amesema serikali ilipoteza fursa mapema kwa kutomteua Kapteni Ruto katika nafasi hiyo miaka iliyopita.
Amesema Kapteni Ruto ni mfanyakazi bidii anayestahili kuongezewa mkataba wake kabla ya muda wake kukamilika.
Maafisa hao wa zamani wa DWU sasa wanaitaka serikali kuchukua hatua za haraka ili kuhakikisha uongozi wa Kapteni William Ruto unaendelea, wakisema ni muhimu kwa mustakabali na ushindani wa Bandari ya Mombasa katika soko la kimataifa.
#nairobitrendingnews #news #reels #kenya #mombasa #coast

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
MAAFISA WA ZAMANI WA DOCKERWOKERS WAITAKA SERIKALI KUONGEZA MKATABA WA CAPT  RUTO

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

VIJANA WA PANGA BOYS KUTOKA DIANI KAUNTI YA KWALE WAJISALIMISHA KWA POLISI

VIJANA WA PANGA BOYS KUTOKA DIANI KAUNTI YA KWALE WAJISALIMISHA KWA POLISI

АВИЦЕННА ЗНАЛ: ПОЖИЛЫЕ, НЕ МОЙТЕСЬ ТАК! ЭТО КРАДЕТ ГОДЫ ЖИЗНИ!

АВИЦЕННА ЗНАЛ: ПОЖИЛЫЕ, НЕ МОЙТЕСЬ ТАК! ЭТО КРАДЕТ ГОДЫ ЖИЗНИ!

Mtwapa kwa Kadzenga

Mtwapa kwa Kadzenga

Срочное распоряжение покинуть территорию / Вывод войск

Срочное распоряжение покинуть территорию / Вывод войск

Организация TUJIAJIRI оказывает помощь более чем 700 молодым людям на улицах Момбасы.

Организация TUJIAJIRI оказывает помощь более чем 700 молодым людям на улицах Момбасы.

KWELI WAHENGA HAWAKUKOSEA: MWANAMKE AKIWEZESHWA ANAWEZA

KWELI WAHENGA HAWAKUKOSEA: MWANAMKE AKIWEZESHWA ANAWEZA

Жаңы айдоочулук күбөлүктүн бизге кереги жок! Айдоочуларды нааразы кылган жаңы реформа

Жаңы айдоочулук күбөлүктүн бизге кереги жок! Айдоочуларды нааразы кылган жаңы реформа

Подозреваемые в краже были застрелены при попытке украсть что-либо из магазина Likon.

Подозреваемые в краже были застрелены при попытке украсть что-либо из магазина Likon.

Депутат парламента обещает найти долгосрочное решение проблемы маленького театра в Момбасе.

Депутат парламента обещает найти долгосрочное решение проблемы маленького театра в Момбасе.

SIASA ZASHEHENI KWENYE MAZISHI YA CYRUS JIRONGO

SIASA ZASHEHENI KWENYE MAZISHI YA CYRUS JIRONGO

WAZIRI MKUMBO AKIZINDUA RASMI KAMPENI YA TANZANIA TUWEKEZE

WAZIRI MKUMBO AKIZINDUA RASMI KAMPENI YA TANZANIA TUWEKEZE

Экс-депутат Аккулу Бердиев эки айга камалды | Жаңылыктар | 12.01.2026

Экс-депутат Аккулу Бердиев эки айга камалды | Жаңылыктар | 12.01.2026

СООБЩЕНИЕ: Создатель контента Каререто из Kilific подвергся нападению, после чего был убит.

СООБЩЕНИЕ: Создатель контента Каререто из Kilific подвергся нападению, после чего был убит.

Kontrowersje wokół azylu Ziobry | WORONICZA 17 | 18.01.2026

Kontrowersje wokół azylu Ziobry | WORONICZA 17 | 18.01.2026

Семья из Кваго требует справедливости после того, как их дочь была жестоко убита, а ее тело было ...

Семья из Кваго требует справедливости после того, как их дочь была жестоко убита, а ее тело было ...

Wanachama wa bunge la wananchi Kisumu wawaonya wanaotaka kumtoa Oburu Odinga uongozini kama kinara

Wanachama wa bunge la wananchi Kisumu wawaonya wanaotaka kumtoa Oburu Odinga uongozini kama kinara

ПРАВИТЕЛЬСТВО ТАНЗАНИИ ПРЕДУПРЕЖДАЕТ СВОИХ ГРАЖДАН ОТ ПРОТЕСТОВ 9 ДЕКАБРЯ 2025 ГОДА

ПРАВИТЕЛЬСТВО ТАНЗАНИИ ПРЕДУПРЕЖДАЕТ СВОИХ ГРАЖДАН ОТ ПРОТЕСТОВ 9 ДЕКАБРЯ 2025 ГОДА

Кожного попередили СВІТЛА НЕ БУДЕ. ВСЕ ЗУПИНЕТЬСЯ - що робити кожному Українцю і як підготуватись!

Кожного попередили СВІТЛА НЕ БУДЕ. ВСЕ ЗУПИНЕТЬСЯ - що робити кожному Українцю і як підготуватись!

🔴 СРОЧНО С НАСЕЛЕНИЕМ ИЛИ БЕЗ США ЗАБЕРУТ ГРЕНЛАНДИЮ! #новости #одиндень

🔴 СРОЧНО С НАСЕЛЕНИЕМ ИЛИ БЕЗ США ЗАБЕРУТ ГРЕНЛАНДИЮ! #новости #одиндень

WAPWANI WAHIMIZWA KUUNGA MKONO 'UMWENGA WEHU'

WAPWANI WAHIMIZWA KUUNGA MKONO 'UMWENGA WEHU'

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]