Sakata la Kukamatwa kwa Tundu Lissu Latinga Bungeni, Mbunge Ataka Makosa Yawekwe Wazi
Автор: The Chanzo
Загружено: 2025-04-10
Просмотров: 8314
Описание:
Mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia CHADEMA Aida Kenani ataka sababu ya kukamatwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu ziwekwe hadharani, huku mbunge wa Nyasa kupitia CCM Stella Manyanya amvaa kwa kusema Lissu aliwatukana viongozi kwenye mkutano wake Mbamba Bay.
Fuatilia matangazo ya Bunge leo Aprili 10, 2025, kutoka jijini Dodoma.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: https://www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: https://www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo 2025 © All Rights Reserved.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: