Wakazi wakimbia vita kati ya majeshi ya DRC na waasi wa M23
Автор: VOA Swahili
Загружено: 2022-10-27
Просмотров: 8398
Описание:
Wakazi wa maeneo mbalimbali ya vijiji vilivyo karibu na Kibumba karibu na pori la Virunga nchini DRC wanakimbia kutokana na mapigano yanayoendelea kati ya majeshi ya Serikali na waasi wa M23.
Hii ni baada ya majeshi ya serikali kurudi nyuma na hivyo kuwalazimu raia hao kuhama vijiji vyao wakihofia kupoteza maisha yao. Ungana na mwandishi wetu akiwahoji wakazi hao...
- - - -
#VOASwahili
Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: