ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

UTATA WAIBUKA/NDOA YA MBUNGE NA MTOTO WA MBUNGE YAINGIA 'MDUDU'

Автор: MwanaHALISI TV

Загружено: 2021-07-01

Просмотров: 6668

Описание: Ndoa ya Mbunge wa Korogwe Vijijini, Timotheo Mnzava na mchumba wake, Caroline Pallangyo, ambaye ni mtoto wa Mbunge wa Arumeru Mashariki, John Pallangyo, imeingia mdudu baada ya kuwekewa pingamizi kanisani.

Ndoa hiyo inayotarajia kufungwa Julai 10 mwaka huu, imewekewa pingamizi na mwanamke anayefahamika kwa jina la Anna, anayedai kuishi naye na kuzaa naye, kabla ya kuamua kufunga ndoa na mwanamke mwingine kwa kificho.

MwanaHALISI TV imezungumza na mwanamke huyo anayeishi Dodoma kikazi, ambaye ni mtumishi wa Serikali, akisema, aliishi na Mnzava kuanzia mwishoni mwa mwaka juzi na kubahatika kupata naye mtoto mmoja wa kike. Na walianza uhusiano walipokutana Tanga alikokwenda kikazi.

Anna anadai kuwa amewasilisha pingamizi hilo katika Kanisani la Kiijili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Usharika wa Mombo mkoani Tanga, ambamo Mnzava anatarajia kufungia ndoa, akilitaka Kanisa lisitishe matangazo ya ndoa hiyo, zikiwa ni siku chache baada ya Kanisa hilo kuanza kutoa matangazo.

🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
🔘Email: [email protected]
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: http://mwanahalisionline.com

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
UTATA WAIBUKA/NDOA YA MBUNGE NA MTOTO WA MBUNGE YAINGIA 'MDUDU'

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

Madam Rita Afunguka Asili Yake Na Alipozaliwa

Madam Rita Afunguka Asili Yake Na Alipozaliwa "Nina Makabila Matatu" | SALAMA NA MADAM RITA PT 1

ENGAGEMENT YA  MTOTO WA WAZIRI - JAMES SIMBACHAWENE  & DIANA MREMA

ENGAGEMENT YA MTOTO WA WAZIRI - JAMES SIMBACHAWENE & DIANA MREMA

BIG BOSS | episode 19 |

BIG BOSS | episode 19 |

DR MWELE MALECELA: MTOTO wa WAZIRI MKUU MSTAAFU ALIYEACHA ALAMA DUNIANI na KUPITIA MENGI HADI KIFO

DR MWELE MALECELA: MTOTO wa WAZIRI MKUU MSTAAFU ALIYEACHA ALAMA DUNIANI na KUPITIA MENGI HADI KIFO

HARUSI ya MBUNGE MZAVA, AMUOA MTOTO wa MBUNGE JOHN D, MBUNGE MWANA FA ASHIRIKI..

HARUSI ya MBUNGE MZAVA, AMUOA MTOTO wa MBUNGE JOHN D, MBUNGE MWANA FA ASHIRIKI..

Mbunge wa Arumeru Mashariki: kwenye Kata yangu tulikuwa tunazika kila siku || sababu ni corona

Mbunge wa Arumeru Mashariki: kwenye Kata yangu tulikuwa tunazika kila siku || sababu ni corona

Katoro Tumefunga Mwaka 2023 Na Milion 200 Kamati Wachana Maokoto Kwenye Harusi Ya CHARLES KABUO Eliz

Katoro Tumefunga Mwaka 2023 Na Milion 200 Kamati Wachana Maokoto Kwenye Harusi Ya CHARLES KABUO Eliz

Pst Mbarikiwa Mwakipesile - Ibada ya Jumapili - 22-02-2026

Pst Mbarikiwa Mwakipesile - Ibada ya Jumapili - 22-02-2026

Уникальная немецкая кинохроника штурма Брестской крепости (1941)

Уникальная немецкая кинохроника штурма Брестской крепости (1941)

HALIMA MDEE afunguka -

HALIMA MDEE afunguka - "NIPO SINGLE, SINA MTOTO, MAISHA NI MAISHA YANGU"

BI HARUSI AINGIA UKUMBINI NA WIMBO WENYE UJUMBE MZITO KWA WALIOCHUKIA YEYE KUOLEWA | MONICA NIGHT

BI HARUSI AINGIA UKUMBINI NA WIMBO WENYE UJUMBE MZITO KWA WALIOCHUKIA YEYE KUOLEWA | MONICA NIGHT

UKAGUZI WA MAENDELEO YA UPANUZI HOSPITALI YA OLTUMETI

UKAGUZI WA MAENDELEO YA UPANUZI HOSPITALI YA OLTUMETI

MTOTO WA SIMBACHAWENE KUBURUZWA MAHAKAMANI

MTOTO WA SIMBACHAWENE KUBURUZWA MAHAKAMANI

MEYA MPYA MANISPAA APONGEZWA KWA KUAMINIWA NA BARAZA

MEYA MPYA MANISPAA APONGEZWA KWA KUAMINIWA NA BARAZA

RAHBY-Makubaliano ya Marekani na Iran yatavyommaliza Netanyahu

RAHBY-Makubaliano ya Marekani na Iran yatavyommaliza Netanyahu

MBUNGE ALIYEMRITHI NASSARI HAPOI, AWAKUMBUKA WAKINAMAMA...

MBUNGE ALIYEMRITHI NASSARI HAPOI, AWAKUMBUKA WAKINAMAMA...

CUF KWACHAFUKA: YAMEGUKA PANDE MBILI, POLISI WAINGILIA KUWATULIA WANAOPINGA NA KUMSAPOTI LIPUMBA

CUF KWACHAFUKA: YAMEGUKA PANDE MBILI, POLISI WAINGILIA KUWATULIA WANAOPINGA NA KUMSAPOTI LIPUMBA

KAMA WAMESHINDWA KUANDAA MASHAHIDI WATAWEZA KULETA MAENDELEO-HECHE

KAMA WAMESHINDWA KUANDAA MASHAHIDI WATAWEZA KULETA MAENDELEO-HECHE

MMOJA WA MAWAKILI WA TUNDU LISSU,MAGEREZA WAMEPOTOSHA WALICHOFANYA SIO HAKI-DICKSON MATATA

MMOJA WA MAWAKILI WA TUNDU LISSU,MAGEREZA WAMEPOTOSHA WALICHOFANYA SIO HAKI-DICKSON MATATA

MZEE SAID!SIMBA TULICHEZA NA SINGIDA DAMARO SI ALIWEPO WHY HATUKUOJI/TUACHE DALILI ZA UOGA TUJIPANGE

MZEE SAID!SIMBA TULICHEZA NA SINGIDA DAMARO SI ALIWEPO WHY HATUKUOJI/TUACHE DALILI ZA UOGA TUJIPANGE

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]