Baadhi ya mawakili na wanagenzi waandamana kulalamikia dhulumiwa kingono
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2026-02-13
Просмотров: 157
Описание: Baadhi ya mawakili na wanagenzi wa sheria waliandamana jijini nairobi kulalamikia visa vya dhuluma za ngono. Mawakili hao waliotatiza usafiri kwenye barabara ya Gitanga, wanasema kuwa licha ya kuwasilisha malalamishi, hatua dhidi ya mawakili wanaodaiwa kuhusika hazijachukuliwa. LSK imethibitisha kupokea malalamishi na kupendekeza kesi hizo kufuatwa na DCI.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: