WANANCHI WENYE HASIRA KALI WACHOMA NYUMBA MOTO WAKIMSAKA MTUHUMIWA WA MAUAJI...
Автор: Global TV Online
Загружено: 2022-03-14
Просмотров: 5491
Описание:
WANANCHI WENYE HASIRA KALI WACHOMA NYUMBA MOTO WAKIMSAKA MTUHUMIWA WA MAUAJI...
Mkazi wa kijiji cha kimashuku kitongoji cha mnadani wilaya ya hai mkoa wa kilimanjaro anayefahamika kwa jina la saidi selemani amenusurika kuuwawa na wananchi wenye hasira kali baada ya kusadikika kushambulia watu wapatao wa tatu na wawili kupotezaa maisha na kitu chenye ncha kali {panga}
Baada ya tukio hilo wakazi wa kijiji hicho walifika mahala ambapo alikuwa amejificha nyumbani kwa baba yake na baada ya kumkuta wanachi walianza kumshambulia yeye pamoja na nyumba.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: [email protected] OR [email protected]
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo na Burudani Tanzania!
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: