Kenya vs Tanzania? Zuchu Aumiza Mioyo Ya Mashabiki – Lakini Je, Ni Sahihi?
Автор: MIZUKA MEDIA
Загружено: 2025-08-30
Просмотров: 168620
Описание:
Katika fainali za CHAN 2025 Moi International Stadium Kasarani Nairobi, mjadala mkubwa siyo mchezo wa Morocco vs Madagascar, bali ni tangazo la Zuchu kutoka Tanzania kuwa msanii mkuu wa kutumbuiza! 🎤🔥
Wakenya wengi wamepinga uamuzi huu wakidai Zuchu si chaguo sahihi, huku wengine wakisema walipaswa kuletwa wasanii kama Mbosso au nyota wa Kenya wenyewe. Mitandao ya kijamii sasa imewaka moto – wengine wakionyesha hasira kali, wengine wakitetea Zuchu, na hata baadhi wakipanga kuimba Wimbo wa Taifa la Kenya wakati Zuchu atakapopanda jukwaani.
Lakini swali kuu linabaki: Je, CHAN walikosea kumleta Zuchu, au huu ni mvutano wa kawaida kati ya Kenya na Tanzania? 🇰🇪🇹🇿
Tazama video hii hadi mwisho kujua maoni ya Wakenya na Watanzania, pamoja na kauli ya Zuchu mwenyewe kuhusu comment iliyoiumiza moyo wake. ❤️
👉 Usisahau kusubscribe MIZUKA MEDIA kwa habari kali za Wasanii wa Tanzania, Kenya, Bongo Fleva, Siasa na Mitindo ya Maisha kila siku.
#Zuchu #CHAN2025 #KenyaVsTanzania #BongoFleva #MIZUKAMEDIA #CHANFinals
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: