Kipindi 10, Ushuhuda wa Uzoefu Kutoka Kanisa la Kanada: Hukumu ya Mungu ni Nuru ya Wokovu
Автор: Enzi Mpya
Загружено: 2026-01-14
Просмотров: 12
Описание:
Kipindi 10, Ripoti ya Moja kwa Moja Kuhusu Maisha ya Kanisa: Ushuhuda wa Uzoefu Kutoka Kanisa la Kanada: Hukumu ya Mungu ni Nuru ya Wokovu
Wakristo wa Kanisa la Mwenyezi Mungu nchini Kanada wameikubali kazi ya Mwenyezi Mungu, na wamepitia hukumu na kuadibu kwa maneno Yake. Wametafakari na kuzitambua tabia zao potovu kutoka katika maneno Yake, na kwa kutenda kulingana na maneno ya Mungu, wametupa mbali polepole tabia hizo potovu. Kwa njia hii, wamejinasua kutoka kwa utumwa wa asili yao ya dhambi na wameanza kuishi katika nuru. Wamekuja kuhisi kwamba kuadibu na hukumu ya Mungu ndiyo nuru ya wokovu kwa wanadamu, na kwamba ni kwa kukubali tu hukumu na utakaso wa Mungu ndiyo wanaweza kufikia wokovu na kuingia katika ufalme wa Mungu.
00:10 Mambo Muhimu
01:02 Maelezo ya Mwenyeji
04:11 Mwanahabari Eneo la Tukio
05:55 Kuimba Wimbo wa Sifa: "Wimbo wa Uhusiano Wetu wa Karibu"
10:35 Kusoma Maneno ya Mwenyezi Mungu
16:06 Dada Cindy Ashiriki Uzoefu Wake: Kwa Kusoma Maneno ya Mungu, Nilipata Njia ya Kutupa Mbali Asili Yangu ya Dhambi
25:33 Ndugu Ian Ashiriki Uzoefu Wake: Unaweza Tu Kutupa Mbali Utumwa wa Umaarufu na Faida kwa Kukubali Hukumu ya Maneno ya Mungu
38:50 Mahojiano ya Papo kwa Papo
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: