🐔 JINSI YA KUANZIA NA MTAJI MDOGO NA KUWA NA KUKU WENGI WA KIENYEJI (NA FAIDA YAKE)
Автор: KingoFarm
Загружено: 2026-02-20
Просмотров: 949
Описание:
Je, una mtaji mdogo lakini unatamani kuwa na kuku wengi wa kienyeji na kupata FAIDA kubwa? 🐔💰
Kwenye video hii nimekufundisha hatua kwa hatua jinsi ya kuanza na mtaji wa Tsh 200,000–300,000 na ndani ya mwaka mmoja uwe na kuku zaidi ya 100!
Utajifunza:
Mimea 10 Yenye Nguvu kwa Vifaranga wa Kienyeji | Tiba za Asili Zenye Matokeo Makubwa
✅ Idadi sahihi ya kuku wa kuanzia
✅ Jinsi ya kujenga banda la gharama nafuu
✅ Mfumo wa kuzalisha kuku wengi haraka (multiplication system)
✅ Njia za kupunguza gharama za chakula kwa zaidi ya 40%
✅ Makadirio ya faida halisi utakayopata
Ukifuata mfumo huu vizuri, unaweza kufikia mapato ya zaidi ya Tsh 400,000 kwa mwezi baada ya miezi 8–12.
📲 Jiunge na kundi letu la WhatsApp la wafugaji kwa mafunzo zaidi
📘 Pata kitabu chetu cha tiba za asili kwa kuku
🔔 Subscribe kwenye channel kwa mafunzo mapya kila wiki
#UfugajiWaKuku #KukuWaKienyeji #BiasharaYaKuku #MtajiMdogo #KingoFarm
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: