ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

SEMINA YA UJASIRIAMALI ST JOSEPH CATHEDRAL (JINSI YA KUJIAJIRI NA KUJIINGIZIA KIPATO KIKUBWA) PART 1

Автор: Kwaya ya Familia Takatifu St. Joseph Cathedral DSM

Загружено: 2019-07-30

Просмотров: 4113

Описание: Semina hii ya ujasiriamali iliyoandaliwa na Parokia ya Kanisa kuu la Mtakatifu Yosefu Jimbo kuu la Dar es salaam maalum kabisa kwa VIWAWA na wengine wote wenye uhitaji imelenga kutoa elimu ya masuala ya kiuchumi, ni namna gani kijana unaweza ukatumia fursa ulizonazo kuweza kujiajiri na kutengeneza ajira kwa vijana wengine. Shukrani za pekee ziende kwa Paroko wa kanisa kuu Fr. Dr Joseph Matumaini ambaye ametuandalia Semina hii bila kumsahau mtoa semina wetu Kaka Thomas. Karibuni tuweze kupata mafundisho haya. Mungu awabariki sana.


Ikiwa wewe ni mjasiriamali, au unataka kuwa mjasiriamali, basi fuatilia makala hii ili nikufahamishe kanuni 15 za ujasiriamali.

1. Kuwa mtatuzi wa matatizo
Ujasiriamali ni zaidi ya kupata pesa, ni lazima kwanza utatue changamoto ya mtu ndipo utaweza kupata pesa kutoka kwa mtu husika. Ni muhimu ukafahamu kanuni hii kama mjasiriamali kwani hutojikita kutafuta pesa bali utajikita kutatua matatizo ya watu.

Kwa mfano kama kuna tatizo la upatikanaji wa mboga katika mji au eneo unalokaa, ikiwa wewe utaleta mboga katika eneo hilo ni wazi kuwa watu watakupa pesa ili uwape mboga. Hivyo ni muhimu kila mara ukatafuta changamoto ukaitatua, nawe bila shaka utapata pesa za uhakika.

“Pesa ni matokeo ya kutatua shida ya mtu”

2. Kuwa na maono
Hakuna ujasiriamali bila maono. Kuwa mjasiriamali bila maono ni sawa na kuendesha gari isiyokuwa na usukani. Maono katika ujasiriamali yatakuwezesha kukuongoza ufanye nini na kwa muda gani. Ni lazima ujiulize kuwa unataka kuwa nani, lini na unataka kufanya nini baadaye? Jonathan Swift alisema maono ni sanaa ya kuona kile ambacho wengine hawaoni. Ni lazima uwe na lengo na ufanye bidii kulifikia.

“Wajasiriamali waliofanikiwa ni wale walioweza kubadili maono yao kuwa uhalisia”

3. Chagua washirika au timu sahihi
Wakati mwingine utahitaji kufanya kazi na watu au mtu fulani. Ni muhimu kuwa makini wakati wa kuchagua washirika au timu ya kufanya nayo kazi ili kuhakikisha maono yako hayakwamishwi. Kamwe usichukue mtu tu kwa kigezo kuwa ni rafiki au ndugu yako, bali chukua mtu ambaye unaamini anaweza kufanya kitu chenye tija kwa ajili ya kufanikisha malengo yako kama mjasiriamali.

Soma pia: Makosa 15 Ambayo Kila Mjasiriamali Anatakiwa Kuyaepuka.

4. Toa huduma au bidhaa yenye tija
Hivi leo sokoni kuna bidhaa na huduma nyingi ambazo ni za aina moja, lakini siyo zote zinafanya vizuri. Hii ni kutokana na baadhi ya bidhaa au huduma kutozingatia kuwa na tija kwa wateja wake. Ikiwa unatengeneza bidhaa au huduma fulani hakikisha itakuwa na manufaa makubwa na ya uhakika kwa wateja wako.

Kwa mfano nimewahi kuona vitafunwa vilivyoandaliwa katika mazingira duni na kuwa na dosari mbalimbali kama vile marashi, vipande vya nywele, mchanga n.k. Ni wazi kuwa bidhaa za namna hii zitakosa wateja kutokana na kuwa na ubora duni.

Kila mara kumbuka kuwa ushindani ni mkubwa, hivyo jitahidi kuongeza tija na ubora wa huduma na bidhaa zako.

5. Fahamu na jali wateja
Ikiwa wewe ni mjasiriamali, basi futa mawazo kuwa wateja wanakuhitaji wewe. Fahamu kuwa wewe kama mjasiriamali, ndiye unaye wahitaji wateja ili ukuze biashara au huduma yako. Hakikisha mambo haya kuhusu wateja:

Fahamu wanataka nini.
Sikiliza maoni na ushauri wao.
Hakikisha unakamilisha mahitaji yao.
Tumia lugha nzuri na rafiki kwa wateja.
Mfanye mteja aone unamthamini.
Mfanye mteja aone kuwa umetanguliza huduma kabla ya pesa.
Naamini kwa kufanya hivi utaweza kujijengea msingi mzuri wa wateja kwa ajili ya huduma au bidhaa zako kila siku.

6. Tumia pesa vyema
Changamoto ya matumizi mabaya ya pesa inawakabili watu wengi kuanzia kwenye matumizi yao binafsi ya pesa. Watu wengi wanapata pesa lakini zinaisha bila ya kufahamu wamezitumiaje au wamefanya kipi chenye tija.

Soma pia: Njia 10 Zitakazokuwezesha Kutumia Pesa Vyema.

Ni wazi kuwa matumizi mazuri ya pesa ni kanuni muhimu sana kwa mjasiriamali, kwani kwa njia hii utaweza kukuza biashara yako kila siku. Jifunze kufahamu hii ni pesa kwa ajili ya nini, na uitumie kwa mambo ya msingi pekee. Epuka tabia za kibadhirifu na anasa. Ikiwa biashara au uwekezaji wako ni mkubwa, basi unaweza kumwajiri mtu aliye na taaluma ya utunzaji na usimamizi wa pesa.

Unaweza pia kujifunza wewe mwenyewe jinsi ya kutunza na kutumia pesa vyema; unaweza pia kutumia programu za bure za kompyuta kama vile Wave app kutunza mahesabu yako.

7. Jifunze kusema hapana
“Hapana” ni jibu dogo lakini lenye manufaa makubwa. Ikiwa wewe ni mjasiriamali ni muhimu kuzingatia kanuni hii ya kusema hapana kwani itakutenga na mambo au mipango isiyokuwa na ulazima.

Kuna watu, mipango, vitu au hata tabia ambazo zinaweza kukuathiri vibaya sana kwenye ujasiriamali wako. Hivyo kusema hapana kutakuepusha kwa kiasi kikubwa na mambo haya.

Soma pia: Tabia 10 zitakazobadili maisha yako.

.................soma zaidi...............................
https://www.fahamuhili.com/kanuni-za-...

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
SEMINA YA UJASIRIAMALI ST JOSEPH CATHEDRAL (JINSI YA KUJIAJIRI NA KUJIINGIZIA KIPATO KIKUBWA) PART 1

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

IFAHAMU WAWATA NA KAZI ZAKE - MAONYESHO YA VYAMA VYA KITUME KANISA KUU LA MT YOSEFU DSM

IFAHAMU WAWATA NA KAZI ZAKE - MAONYESHO YA VYAMA VYA KITUME KANISA KUU LA MT YOSEFU DSM

Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa

Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa

James Clear on Atomic Habits, Identity, and Becoming the Person You Want to Be

James Clear on Atomic Habits, Identity, and Becoming the Person You Want to Be

AINA 4 ZA UWEKEZAJI BORA TANZANIA UNAO TENGENEZA MATAJIRI WAKUBWA | Victor Mwambene.

AINA 4 ZA UWEKEZAJI BORA TANZANIA UNAO TENGENEZA MATAJIRI WAKUBWA | Victor Mwambene.

Вот почему евреи богатеют, а вы нет! Пять правил, о которых молчат

Вот почему евреи богатеют, а вы нет! Пять правил, о которых молчат

Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.

Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.

EXCLUSIVE: MUHUBIRI DR. GEORDAVIE AFUNGUKA YOTE, KUTEMBEA NA WALINZI, KUPANGA KIWANGO CHA SADAKA N.K

EXCLUSIVE: MUHUBIRI DR. GEORDAVIE AFUNGUKA YOTE, KUTEMBEA NA WALINZI, KUPANGA KIWANGO CHA SADAKA N.K

NINI MAANA YA UJASIRIAMALI?

NINI MAANA YA UJASIRIAMALI?

Tabia 10 Muhimu za Mafanikio

Tabia 10 Muhimu za Mafanikio

Эти покупки ВОЗВРАЩАЮТ деньги: инвестируй правильно | Еврейский секрет богатства

Эти покупки ВОЗВРАЩАЮТ деньги: инвестируй правильно | Еврейский секрет богатства

MAENEO SAHIHI YA KUWEKEZA PESA ZAKO ILI ZIONGEZEKE💰~Mwl. Emilian Busara | FINANCIAL FREEDOM (Part 3)

MAENEO SAHIHI YA KUWEKEZA PESA ZAKO ILI ZIONGEZEKE💰~Mwl. Emilian Busara | FINANCIAL FREEDOM (Part 3)

KWANINI KUNA VITA YA UCHUMI KWA WATU WA MUNGU?

KWANINI KUNA VITA YA UCHUMI KWA WATU WA MUNGU?

Siri 5 ili kuwa mjasiriamali mwenye mafanikio.

Siri 5 ili kuwa mjasiriamali mwenye mafanikio.

Чем ОПАСЕН МАХ? Разбор приложения специалистом по кибер безопасности

Чем ОПАСЕН МАХ? Разбор приложения специалистом по кибер безопасности

Политика США по Украине: Трамп не торгуется с Москвой ради Зеленского - Яков Кедми

Политика США по Украине: Трамп не торгуется с Москвой ради Зеленского - Яков Кедми

MITIMINGI # 735 UTAFANYAJE KUONGEZA KIPATO KATIKA UCHUMI MGUMU

MITIMINGI # 735 UTAFANYAJE KUONGEZA KIPATO KATIKA UCHUMI MGUMU

Mapishi ya njugu mawe tamu za sukari | Sweet bambara beans

Mapishi ya njugu mawe tamu za sukari | Sweet bambara beans

JINSI YA KUFUNGUA KAMPUNI NA TARATIBU ZAKE, MBINU NA USHAURI

JINSI YA KUFUNGUA KAMPUNI NA TARATIBU ZAKE, MBINU NA USHAURI

ПРОРОЧЕСТВО МЕССИНГА: Что ждёт человечество 7 января на Рождество 2026?

ПРОРОЧЕСТВО МЕССИНГА: Что ждёт человечество 7 января на Рождество 2026?

Тайный обряд в Якутии: духов спросили о будущем России — ответ напугал всех!

Тайный обряд в Якутии: духов спросили о будущем России — ответ напугал всех!

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]