Mgogoro wa Urithi Ndani ya
Автор: Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Afrika
Загружено: 2026-02-16
Просмотров: 46
Описание:
Chama cha upinzani nchini Kenya, Orange Democratic Movement, kimeingia katika kipindi kigumu baada ya kufariki kwa kiongozi wake wa muda mrefu, Raila Odinga.
Kwa miongo mitatu, ODM ilikuwa ngome thabiti chini ya uongozi wake. Sasa, chini ya uongozi wa kaimu wa Oburu Oginga, chama kinakabiliwa na mvutano wa ndani kuhusu mwelekeo wake wa kisiasa.
Hatua ya kumfurusha Katibu Mkuu Edwin Sifuna imechochea uasi na kuibua mirengo miwiliwanaounga mkono ushirikiano na Rais William Ruto na wanaoupinga.
Je, ODM inajijenga upya au inaanza kusambaratika?
Prof. Herman Manyora, anachambua kwa kina.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: