Rais Samia awataka ambao hawajahesabiwa (Sensa) wajitokeze
Автор: ufmradiotz
Загружено: 2022-09-03
Просмотров: 5
Описание:
"Tumeongeza siku saba...kwa ajili ya kuchukua sensa ya nyumba na makazi, lakini papo hapo ni fursa kwa wale ambao hawakuhesabiwa kwenda kusema hawakuhesabiwa" - Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika tamasha la Kizimkazi lililofanyika leo Kizimkazi Dimbani, Zanzibar.
#UFMUpdates #UFMHabari
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: