Gen Z wa Tanzania Wawajibu Kenya – Ugomvi Wazidi Baada ya Morocco na Madagascar!
Автор: MIZUKA MEDIA
Загружено: 2025-08-24
Просмотров: 30218
Описание:
Gen Z wa Tanzania wametoa majibu makali kwa Wakenya baada ya vipigo vya Morocco na Madagascar kwenye mashindano ya CHAN 2025. Mashabiki hawa vijana wamechochea mjadala mkali mitandaoni, huku ugomvi kati ya Kenya na Tanzania ukizidi kuchukua nafasi kwenye vichwa vya habari Afrika Mashariki. Je, huu ni mzaha wa soka au ni mwanzo wa ushindani mkubwa kati ya majirani hawa wawili? Tazama video hii hadi mwisho ujionee maneno mazito ya Gen Z wa Tanzania kwa Wakenya.
🔥 Usisahau ku-subscribe Mizuka Media kwa habari zote kali za soka, burudani na mijadala ya vijana Afrika Mashariki.
#KenyaVsTanzania
#CHAN2025
#GenZAfrica
#SokaLaAfrikaMashariki
#MizukaMedia
#FootballDrama
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: