TAFAKURI YA INJILI:HERI NANE KUTOKA KWA MATHAYO ZINAZOTUONGOZA KATIKA MAISHA YETU.
Автор: St.Augustine Parish Salasala-Dar es Salaam
Загружено: 2026-02-01
Просмотров: 47
Описание:
Katika tafakari hii ya kiroho, tunaongozwa kutafakari Heri Nane (Mathayo 5:1–12) — maneno ya Yesu yaliyojaa hekima, faraja, na mwongozo wa maisha ya Mkristo wa kweli. Kupitia mafundisho haya, tunakumbushwa kuwa furaha ya kweli haipatikanwi katika mali au nguvu za dunia, bali katika unyenyekevu, huruma, usafi wa moyo, na kutafuta haki.
Misa hii Takatifu imeongozwa na Father Kioko, akitusaidia kuelewa kwa kina maana ya Heri Nane katika maisha yetu ya kila siku — nyumbani, kazini, na katika changamoto tunazokutana nazo. Ni mwaliko wa kuishi maisha ya upendo, msamaha, amani, na imani thabiti hata katikati ya mateso.
🙏 Tafakari hii itakusaidia:
Kukuza uhusiano wako na Mungu
Kupata tumaini katikati ya majaribu
Kuelewa furaha ya kweli kwa mtazamo wa Injili
Kuishi kama chombo cha amani na mwanga wa Kristo duniani
📖 “Heri walio maskini wa roho, maana ufalme wa mbinguni ni wao…” (Mathayo 5)
Usisahau ku-like, ku-share, na ku-subscribe ili kuendelea kupokea tafakari na mafundisho ya kiroho yanayojenga imani.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: