Wananchi Handeni wamkataa mwenyekiti wa kijiji, DC amsimamisha
Автор: Mwananchi Digital
Загружено: 2022-09-15
Просмотров: 2356
Описание:
Wananchi wa kijiji cha Gole kata ya Kang'ata wilayani Handeni mkoani Tanga,wamemkataa mwenyekiti wa eneo Bakari Mkwayu wakimtuhumu makosa mbalimbalo ya kiutwala na kumtaka kuachia ngazi.
Wakizungumza kwenye kikao maalum cha kumjadili mwenyekiti huo kilichoitishwa na kamati ya ulinzi na usalama,wananchi hao wamesema hawana imani na mwenyekiti wao kwa kuwa yapo matukio ya mauaji na uharibifu misitu yamefanyika ila hawakuona hatua mathubuti zikichukuliwa.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: