SHUJAA MWISLAMU ALIVYOWAOKOA KIFO MAMIA YA WAYAHUDI, KWA PAMOJA TUZUIE MAUAJI KAMA HAYA
Автор: Mizani Online TV
Загружено: 2025-12-26
Просмотров: 186
Описание:
Full Video: Makala hii imelenga kuwakumbusha wote wanaoeneza fikra za upotoshaji, wakidai kuwa Uislamu ni dini ya kigaidi, visasi, mauaji na kwamba ni dini isiyotambua haki za kibinaadam.
Tukio la Ahmed Al-Ahmed kujitolea uhai wake ili kuwakingia kifua Wayahudi na kuwanusuru na kifo, ni ushahidi wa wazi kabisa Uislamu ni dini ya haki, inayofundisha wafuasi wake kusimamia haki na kupambana dhidi ya dhulma na madhalimu. Naveed Akram pamoja na kuwa ana jina la Kiislamu, lakini matendo yake ya kuwauwa Mayahudi wasiokuwa na hatia, yanapingwa na Uislamu na kwa msingi huo, jinai ni jinai tu haitazami nani ametenda. Mtoa Mada amehitisha kwa kutoa wito kuwataka Wanadamu wote tusimame pamoja kupinga na kuzuia mauaji ya aina kama hiyo,
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: