Bomoa Bomoa Mpya Dar Yaacha Makumi Bila Makazi
Автор: The Chanzo
Загружено: 2021-11-24
Просмотров: 3533
Описание:
Hali ya sintofahamu imetawala kwa wakazi wa Mpiji Bunju A, jijini Dar es Salaam kufuatia hatua ya Serikali kuvunja nyumba kadhaa za wakazi wa eneo hilo, hali iliyozua taharuki na vilio kwa wakazi wengi wa eneo hilo ambao wamebaki bila makazi.
Wakazi hao wanadai kuwepo katika eneo hilo kwa zaidi ya miaka kumi mpaka hivi sasa na hadi kutokea kwa kadhia hiyo hawakua na taarifa yoyote na hawakujiandaa kuhama hapo kabla.
The Chanzo ilifika katika eneo la tukio na kuzungumza na baadhi ya wahanga wa bomoa bomoa hiyo na haya ndiyo yalikuwa maoni yao.
#TheChanzo
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: