DED matatani akidaiwa kuonesha dharau kwa wakimbiza Mwenge wa Uhuru
Автор: Azam TV
Загружено: 2023-07-08
Просмотров: 7829
Описание:
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya mkoani Mara, Abdul Mtaka ameingia matatani kwa wakimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa baada ya kudaiwa kuonesha dharau wakati akiulizwa maswali mbalimbali.
#AzamTVUpdated
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: