Serikali yatishia kutwaa silaha haramu Tana River endapo mkataba wa amani utavunjwa
Автор: Citizen TV Kenya
Загружено: 2025-12-31
Просмотров: 401
Описание: Serikali itatwaa kwa lazima silaha zote zinazomilikiwa kinyume cha sheria katika kaunti ya Tana River iwapo mkataba wa amani uliowekwa baina ya jamii mbili zinazozozana utavunjwa.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: