ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU: WANANCHI WAIOMBA SERIKALI KUINGILIA KATI

Автор: Site Tv Online

Загружено: 2026-03-09

Просмотров: 134

Описание: Wananchi wa Tarafa ya Nalasi, iliyopo wilayani Tunduru mkoani Ruvuma wameiomba Serikali kuingilia kati na kutafuta suluhisho la kudumu la migogoro inayojitokeza kati ya wakulima na wafugaji katika eneo hilo ambapo wananchi hao wamependekeza Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi pamoja na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kutenga rasmi maeneo ya ufugaji ili kudumisha amani na kupunguza migogoro inayotokana na mwingiliano wa shughuli za kilimo na ufugaji.
Wakizungumza mbele ya Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt. BASHIRU ALY KAKURWA, wananchi wamesema kuwa shughuli kuu ya wakazi wengi wa Wilaya ya Tunduru ni kilimo. Hata hivyo, katika kipindi cha hivi karibuni kumekuwepo na ongezeko la mifugo kuingia katika maeneo ya mashamba, hali inayosababisha migogoro ya mara kwa mara kati ya wakulima na wafugaji.
Wananchi hao wamesema migogoro hiyo imekuwa na athari kubwa ikiwemo uharibifu wa mazao, majeruhi na wakati mwingine vifo vinavyotokana na vurugu zinazotokea wakati wa migogoro hiyo.
Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali AHMED ABBAS AHMED, akitoa taarifa kwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi, amesema Serikali katika Wilaya ya Tunduru tayari imetenga vitalu 279 kwa ajili ya wafugaji. Hata hivyo, amebainisha kuwa maeneo hayo bado hayajapatiwa huduma muhimu kama maji na miundombinu mingine, hali inayowalazimu baadhi ya wafugaji kuyahama na kuingia katika maeneo ya wakulima.
Naye Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Balozi Dkt.BASHIRU ALY KAKURWA, amesema kuwa Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, TAMISEMI pamoja na Wizara ya Mifugo na Uvuvi inaendelea na mikakati ya kupanga na kutenga maeneo maalum kwa ajili ya wafugaji ambayo yatakuwa na huduma muhimu ili kuwezesha wafugaji na mifugo yao kuishi na kufanya shughuli zao kwa utulivu.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU: WANANCHI WAIOMBA SERIKALI KUINGILIA KATI

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

TAARIFA KWA UMMA UJIO WA WAZIRI MKUU DKT.NCHEMBA KATAVI 12 MARCH 2026

TAARIFA KWA UMMA UJIO WA WAZIRI MKUU DKT.NCHEMBA KATAVI 12 MARCH 2026

TAZAMA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA DK HOMERA ALIVYOWASILI UWANJA WA NDEGE SONGEA.

TAZAMA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA DK HOMERA ALIVYOWASILI UWANJA WA NDEGE SONGEA.

HUYU NYERERE AMESHINDIKANA... TAZAMA ALICHOKIFANYA MBELE YA MKE WA WAZIRI MKUU SUMBAWANGA

HUYU NYERERE AMESHINDIKANA... TAZAMA ALICHOKIFANYA MBELE YA MKE WA WAZIRI MKUU SUMBAWANGA

CHANGAMOTO ZA AJALI ZA MARA KWA MARA SASA KUKOMESHWA LUPA

CHANGAMOTO ZA AJALI ZA MARA KWA MARA SASA KUKOMESHWA LUPA

🔴#LIVE:SINGIDA SC VS SIMBA SC_ LIGI KUU YA NBC

🔴#LIVE:SINGIDA SC VS SIMBA SC_ LIGI KUU YA NBC

Пустыня и Закон | Хондо: Дикие Земли  Смотрите фильм с русским дубляжом!

Пустыня и Закон | Хондо: Дикие Земли Смотрите фильм с русским дубляжом!

53. posiedzenie Sejmu - dzień 1. 11 marca 2026 r.

53. posiedzenie Sejmu - dzień 1. 11 marca 2026 r.

😳ЯКОВЕНКО: Путин НАКИНУЛСЯ на россиян В ОБРАЩЕНИИ! Видео РВЕТ СЕТЬ: гляньте, ЧТО ТРЕБУЕТ от Москвы

😳ЯКОВЕНКО: Путин НАКИНУЛСЯ на россиян В ОБРАЩЕНИИ! Видео РВЕТ СЕТЬ: гляньте, ЧТО ТРЕБУЕТ от Москвы

JT DU MARDI 03 MARS 2026

JT DU MARDI 03 MARS 2026

DCC MPANDA HALMASHAURI 2 YAONGEZA BAJETI YA MAPATO YA NDANI KUFIKIA BIL.7.5

DCC MPANDA HALMASHAURI 2 YAONGEZA BAJETI YA MAPATO YA NDANI KUFIKIA BIL.7.5

TIKETI ZA BUS ZA MKONO MARUFUKU STENDI YA MIZENGO PINDA MPANDA

TIKETI ZA BUS ZA MKONO MARUFUKU STENDI YA MIZENGO PINDA MPANDA"BARAZA"

ШИКАРНЫЙ ФИЛЬМ ПРИКЛЮЧЕНИЕ О ДОЛИНЕ СМЕРТИ НА ДИКОМ ЗАПАДЕ | НАСТОЯЩЕЕ КИНО, ЗАХВАТЫВАЮЩЕЕ МГНОВЕННО

ШИКАРНЫЙ ФИЛЬМ ПРИКЛЮЧЕНИЕ О ДОЛИНЕ СМЕРТИ НА ДИКОМ ЗАПАДЕ | НАСТОЯЩЕЕ КИНО, ЗАХВАТЫВАЮЩЕЕ МГНОВЕННО

IFTAR YA RC RUVUMA/AOMBA USHIRIKIANO NA AMANI KWA WANANCHI WA RUVUMA

IFTAR YA RC RUVUMA/AOMBA USHIRIKIANO NA AMANI KWA WANANCHI WA RUVUMA

WAATHIRIKA WA MVUA NYASA WAPATIWA MSAADA WA MABATI.

WAATHIRIKA WA MVUA NYASA WAPATIWA MSAADA WA MABATI.

СУПЕР ФИЛЬМ ПРИКЛЮЧЕНИЕ ПРО МЕСТЬ НА ДИКОМ ЗАПАДЕ | КИНО, КОТОРОЕ ЗАТЯГИВАЕТ С ПЕРВЫХ МИНУТ

СУПЕР ФИЛЬМ ПРИКЛЮЧЕНИЕ ПРО МЕСТЬ НА ДИКОМ ЗАПАДЕ | КИНО, КОТОРОЕ ЗАТЯГИВАЕТ С ПЕРВЫХ МИНУТ

SZALONA KOŃCÓWKA, YAMAL W OSTATNIEJ SEKUNDZIE! NEWCASTLE - FC BARCELONA, SKRÓT MECZU

SZALONA KOŃCÓWKA, YAMAL W OSTATNIEJ SEKUNDZIE! NEWCASTLE - FC BARCELONA, SKRÓT MECZU

CCM Mbinga wapokea utekelezaji wa Ilani ya wilaya waipongeza serikali kwa kusimamia utekelezaji.

CCM Mbinga wapokea utekelezaji wa Ilani ya wilaya waipongeza serikali kwa kusimamia utekelezaji.

MHE ANGELLAH KAIRUKI AMNADI MGOMBEA UBUNGE CCM PERAMIHO.

MHE ANGELLAH KAIRUKI AMNADI MGOMBEA UBUNGE CCM PERAMIHO.

🔴 Цього не покажуть по ТБ! Головні новини - ТЕЛЕКАНАЛ ПРЯМИЙ

🔴 Цього не покажуть по ТБ! Головні новини - ТЕЛЕКАНАЛ ПРЯМИЙ

KATAVI UJUMBE MZURI WATOLEWA KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

KATAVI UJUMBE MZURI WATOLEWA KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]