SAKATA LA PADRE KITIMA, ASKOFU RWAICHI ASHINDWA KUVUMILIA, ATOA KAULI NZITO
Автор: HARAKATI TV
Загружено: 2025-12-27
Просмотров: 7857
Описание:
Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Dar es Salaam, Askofu Rwaichi, amevunja ukimya na kuingilia sakata linalomuhusu Padre Charles Kitima, hatua iliyozua mjadala mpana ndani na nje ya Kanisa Katoliki Tanzania.
Katika kauli yake, Askofu Rwaichi ametoa msimamo mzito unaogusa masuala ya uongozi wa kanisa, maadili ya viongozi wa dini, haki, na mustakabali wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania. Sakata hili limeendelea kuvuta hisia za waumini, wachambuzi wa masuala ya dini na wananchi kwa ujumla.
Je, kauli ya Askofu Rwaichi inaleta suluhu au inazidisha mgogoro?
Tazama uchambuzi huu mzito hadi mwisho, subscribe, like na kushare ili kuendelea kupata habari nyeti za kitaifa.
📺 harakatitv
• Uchambuzi wa Siasa:
• Breaking News:
• Ripoti za Maoni:
#siasatanzania #uchambuzi #harakatitv #ccm #KKKT #tundulissu #KANISAKATOORI #breakingnews
News Theme 1 by Audionautix is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 license. https://creativecommons.org/licenses/...
Artist: http://audionautix.com/
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: