ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

RASMI WIZARA YA ELIMU ZANZIBAR KUONDOA MFUMO WA "SHIFT" KWA WANAFUNZI

Автор: ASAM Online TV

Загружено: 2026-03-07

Просмотров: 1951

Описание: Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Mhe. Lela Mohammed Mussa amesema Serikali ya Awamu ya Nane inaendelea kuweka mkazo mkubwa katika ujenzi wa madarasa na skuli mpya ili kuimarisha mazingira ya kufundishia na kujifunzia.

Mhe. Lela ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu utekelezaji wa siku 100 za uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, katika ukumbi wa Rahaleo Studio, Mkoa wa Mjini Magharibi.

Amesema juhudi hizo ni sehemu ya mkakati wa Serikali wa kuondoa mfumo wa zamu (shift) katika skuli pamoja na kupunguza msongamano wa wanafunzi madarasani.

Aidha, amesema katika kutambua umuhimu wa elimu kwa maendeleo ya taifa, Ilani ya Chama Cha Mapinduzi imeelekeza ujenzi wa jumla ya madarasa 1,000 kwa ngazi ya elimu ya msingi na madarasa 1,000 kwa elimu ya sekondari.

Vilevile, mpango huo unajumuisha ujenzi wa skuli 10 za ghorofa kwa kila ngazi ya elimu, hatua inayolenga kuongeza nafasi za wanafunzi na kuboresha zaidi sekta ya elimu nchini.

#ASAMOnlineTV
#ElimuZanzibar
#Siku100ZaUongozi
#MaendeleoYaElimu
#Zanzibar

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
RASMI WIZARA YA ELIMU ZANZIBAR KUONDOA MFUMO WA "SHIFT" KWA WANAFUNZI

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

Miaka Mitano ya OMO: Mazungumzo na Diaspora | GUMZO MAALUM

Miaka Mitano ya OMO: Mazungumzo na Diaspora | GUMZO MAALUM

WAZIRI NADIR AHAKIKISHIA UMEME WA UHAKIKA ZANZIBAR IFIKAPO 2028

WAZIRI NADIR AHAKIKISHIA UMEME WA UHAKIKA ZANZIBAR IFIKAPO 2028

Maalim Seif ashinda kesi Mahakama ya Afrika | GUMZO LA LEO

Maalim Seif ashinda kesi Mahakama ya Afrika | GUMZO LA LEO

ZAIDI YA WATU ELFU 15 WAFUTURU NA RAIS AMANI ZNZ DKT MWINYI AFURAHISHWA NA HILI HISTORIA YAWEKWA

ZAIDI YA WATU ELFU 15 WAFUTURU NA RAIS AMANI ZNZ DKT MWINYI AFURAHISHWA NA HILI HISTORIA YAWEKWA

BALAA JIPYA, ZANZIBAR ITAKUA KAMA ULAYA, NYUMBA ZA KWA MJERU - KIKWAJUNI

BALAA JIPYA, ZANZIBAR ITAKUA KAMA ULAYA, NYUMBA ZA KWA MJERU - KIKWAJUNI

Mzee aliyeshiriki Mapinduzi ya Zanzibar (1964) asimulia mambo yalivyokuwa

Mzee aliyeshiriki Mapinduzi ya Zanzibar (1964) asimulia mambo yalivyokuwa

MOTO MKUBWA WATEKETEZA NYUMBA - GULIONI

MOTO MKUBWA WATEKETEZA NYUMBA - GULIONI

WAZIRI HAROUNA ATAJA MAFANIKIO YA WIZARA KATIKA SIKU 100 ZA UONGOZI

WAZIRI HAROUNA ATAJA MAFANIKIO YA WIZARA KATIKA SIKU 100 ZA UONGOZI

MVUA KUBWA YAVAMIA MAKAAZI YA WATU FUONI JANGAMAZINI

MVUA KUBWA YAVAMIA MAKAAZI YA WATU FUONI JANGAMAZINI

Hii ndio changamoto kubwa ambayo Marekani bado anapambana nao kwenye Vita na IRAN

Hii ndio changamoto kubwa ambayo Marekani bado anapambana nao kwenye Vita na IRAN

ATANGAZWA RASMI KUWA MKUU MPYA WA SHULE YA  BEROYA MISSION HIGH SCHOOL ILIYOPO BAGAMOYO

ATANGAZWA RASMI KUWA MKUU MPYA WA SHULE YA BEROYA MISSION HIGH SCHOOL ILIYOPO BAGAMOYO

🚨СИТУАЦИЯ НАКАЛЯЕТСЯ! Это уже НЕ ПРОСТО УГРОЗЫ. Иран и Азербайджан на ГРАНИ ВОЙНЫ. Разбор от ЮНУСА

🚨СИТУАЦИЯ НАКАЛЯЕТСЯ! Это уже НЕ ПРОСТО УГРОЗЫ. Иран и Азербайджан на ГРАНИ ВОЙНЫ. Разбор от ЮНУСА

Netanyahu: Vita dhidi ya Iran vitaendelea bila kusitishwa na bila maridhiano yoyote

Netanyahu: Vita dhidi ya Iran vitaendelea bila kusitishwa na bila maridhiano yoyote

HOJA MEZANI | Ujenzi wa bandari Zanzibar utakavyoleta mapinduzi ya ajira kwa wazawa

HOJA MEZANI | Ujenzi wa bandari Zanzibar utakavyoleta mapinduzi ya ajira kwa wazawa

Mtoto wa SNURA alivyotangazwa mshindi wa kwanza mashindano ya QUR'AN mashallah

Mtoto wa SNURA alivyotangazwa mshindi wa kwanza mashindano ya QUR'AN mashallah

FOLENI SASA BASI BUBUBU BARAZA LA WAWAKILISHI LAJADILI UJENZI WA MADARAJA  ZANZIBAR

FOLENI SASA BASI BUBUBU BARAZA LA WAWAKILISHI LAJADILI UJENZI WA MADARAJA ZANZIBAR

Zanzibar, eneo na mipaka yake kwa mtazamo wa kisheria na kihistoria-URITHI WETU (Episode 1):

Zanzibar, eneo na mipaka yake kwa mtazamo wa kisheria na kihistoria-URITHI WETU (Episode 1):

SABRA MACHANO: Nilifukuzwa kazi ZSSF kisa natembea na RAIS

SABRA MACHANO: Nilifukuzwa kazi ZSSF kisa natembea na RAIS

CHUMA HIKI HAPA!! AHMEDY ALLY AFUNGUKA MSIMAMO WA BODI YA LIGI/TUMEPOKEA TAARIFA ILA TUMEUMIA

CHUMA HIKI HAPA!! AHMEDY ALLY AFUNGUKA MSIMAMO WA BODI YA LIGI/TUMEPOKEA TAARIFA ILA TUMEUMIA

''ZANZIBAR IPEWE NAFASI'' MBUNGE KING ashusha PONTI kuhusu MUUNGANO

''ZANZIBAR IPEWE NAFASI'' MBUNGE KING ashusha PONTI kuhusu MUUNGANO

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]