UTACHEKA! VITUKO VYA LIPUMBA 'AWACHANA' WANAOONGEA KISWAHILI ALAFU WANACHOMEKEA KIINGEREZA...
Автор: Wasafi Media
Загружено: 2022-01-04
Просмотров: 4027
Описание:
Wakati Unesco ikitangaza kila ifikapo Julai 7 ya kila mwaka ni Siku ya Kiswahili Duniani Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba ametaka Watanzania Kutobeza matumizi ya Lugha ya Kiswahili na badala yake Watumie fursa hiyo kuzidi kuitangaza Kimataifa.
Profesa Lipumba akizungumza leo Jijini Dar es Salaam ametumia nafasi hiyo kutoa Darasa la namna ambavyo Kundi la Vijana linaweza kushiriki Vizuri katika kukuza lugha ya Kiswahili na kuzipa Kisogo lugha za Kigeni.
UTACHEKA! VITUKO VYA LIPUMBA 'AWACHANA' WANAOONGEA KISWAHILI ALAFU WANACHOMEKEA KIINGEREZA...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: