Mkuu Wa Habari Wa CHADEMA Gerva Lyenda Afichua Kuhusu Mauaji Na Makaburi Ya Halaiki Akiwa Mafichoni
Автор: KTN News Kenya
Загружено: 2025-11-26
Просмотров: 72379
Описание:
Tanzania imefutilia mbali sherehe za Maadhimisho ya Uhuru za Desemba 9 kufuatia taarifa za maandamano makubwa yanayopangwa kupinga kuchaguliwa tena kwa Rais Samia Suluhu Hassan.
Wakati huo huo, mashirika mbalimbali ya kiraia yameiandikia Mahakama ya Kimataifa ya ICC yakitaka uchunguzi ufanyike, huku shinikizo likiongezeka kutoka kwa Seneti ya Marekani.
Katika mahojiano haya ya kipekee, mwanahabari mpekuzi Francis Ontomwa anaongea na Gerva Lyenda, Mkuu wa Idara ya Habari wa CHADEMA, ambaye anakanusha madai kwamba chama hicho kinafadhili maandamano ya Desemba 9.
Follow the KTN News channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029Va5m...
Buy or Sell a Car? - https://motors.digger.co.ke/for-sale
Read The Standard e-Paper now! - https://epaper.standardmedia.co.ke/
SUBSCRIBE TO OUR CHANNEL
https://www.youtube.com/user/standard...
╔═╦╗╔╦╗╔═╦═╦╦╦╦╗╔═╗
║╚╣║║║╚╣╚╣╔╣╔╣║╚╣═╣
╠╗║╚╝║║╠╗║╚╣║║║║║═╣
╚═╩══╩═╩═╩═╩╝╚╩═╩═╝
For any questions or inquiries regarding this video, please reach out to [email protected]
Get the latest and Breaking news https://www.standardmedia.co.ke
----------------------------------------------------------------
follow us on all of these
• Facebook - / KTNNewsKenya
• Twitter - / KTNnewske
• Instagram - / ktnnews
• TikTok - / ktnnewske
• Hiring or want to be hired? - https://jobs.digger.co.ke/all-open-va...
--------------------------------------------------------------------
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: