ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

#WAZIRI

Автор: Uhamiaji Tv

Загружено: 2022-01-10

Просмотров: 4604

Описание: #OnTrending! #UhamiajiNews
Waziri Mpya wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamad Y. Masauni (Mb) na Naibu Waziri Mpya Mhe. Jumanne A. Sagini (Mb) wamewasili leo katika Ofisi ya Makao Makuu ya Wizara iliyopo Mtumba Jijini Dodoma na kupokelewa na watumishi wa Wizara hiyo na baadhi ya watendaji kutoka katika taasisi mbalimbali zilizopo chini ya Wizara hiyo ikiwemo Jeshi la Uhamiaji ambalo liliwakilishwa na Kamishna wa Uhamiaji Fedha na Utawala Kamishna Hamza Shaban.

Akiongea na Watumishi Wizarani hapo Mhe. Masauni alisema amefurahi kurudi kwenye familia yake kwani miaka ya nyuma aliwahi kuwa Naibu Waziri Wizarani hapo na hivyo amewataka watumishi hao kushirikiana ili kumsaidia Mhe. Rais katika kutekeleza adhma yake ya kuwatumikia watanzania na kuwaletea maendeleo.

Kabla ya uteuzi huo Mhe. Masauni alikuwa Naibu Waziri Wizara ya Fedha na Mipango.

Kwa upande wake Naibu Waziri Mpya wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Jumanne Sagini amewashukuru watumishi wa wizara kwa mapokezi mazuri na amewaahidi kutumia uzoefu wake wa utumishi wa umma kwa muda miaka zaidi ya 30 kuleta mabadiliko chanya wizarani hapo kwa faida ya vizazi vya sasa na baadae.

Mhe. Sagini pia ni Mbunge wa Jimbo la Butiama lililoko Mkoani Mara.

Viongozi hao waliwasili katika ofisi za Wizara mara baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 10 Januari 2022 Ikulu Chamwino Jijini Dodoma.

Aidha viongozi wengine walioteuliwa kubaki katika nafasi zao katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ni Katibu Mkuu Ndugu. Christopher Kadio na Naibu Katibu Mkuu Ndugu. Ramadhani Kailima.

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inaundwa na taasisi mbalimbali ikiwemo Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza, Jeshi la Uhamiaji, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA huku ikiwa na Majukumu ya Kulinda Usalama wa Raia na Mali zao , Kuhifadhi na Kurekebisha Wafungwa, Kudhibiti Uingiaji na Utokaji wa Raia na wageni, Kutoa huduma za Zimamoto na Uokoaji, Kuwahudumia Wakimbizi, na Kuandaa Vitambulisho vya Taifa.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
#WAZIRI

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

🔴#TBCLIVE: TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ZIARA ZA RAIS DKT. SAMIA NJE YA NCHI

🔴#TBCLIVE: TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ZIARA ZA RAIS DKT. SAMIA NJE YA NCHI

#ZIARA YA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MHE. KATAMBI KATIKA IDARA YA UHAMIAJI MAKAO MAKUU DODOMA

#ZIARA YA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI MHE. KATAMBI KATIKA IDARA YA UHAMIAJI MAKAO MAKUU DODOMA

ШИКАРНЫЙ ФИЛЬМ ПРИКЛЮЧЕНИЕ О ДОЛИНЕ СМЕРТИ НА ДИКОМ ЗАПАДЕ | НАСТОЯЩЕЕ КИНО, ЗАХВАТЫВАЮЩЕЕ МГНОВЕННО

ШИКАРНЫЙ ФИЛЬМ ПРИКЛЮЧЕНИЕ О ДОЛИНЕ СМЕРТИ НА ДИКОМ ЗАПАДЕ | НАСТОЯЩЕЕ КИНО, ЗАХВАТЫВАЮЩЕЕ МГНОВЕННО

Как сохранить ясный ум и память до глубокой старости? Делайте это 5 минут в день

Как сохранить ясный ум и память до глубокой старости? Делайте это 5 минут в день

#DAKIKA 23 ZA SOMO LA ITIFAKI NA MAADILI KWA VIONGOZI WA UHAMIAJI KUTOKA KWA OMAR KASHERA MJENGA ndc

#DAKIKA 23 ZA SOMO LA ITIFAKI NA MAADILI KWA VIONGOZI WA UHAMIAJI KUTOKA KWA OMAR KASHERA MJENGA ndc

LIVE// SHEREHE YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI CHUO CHA MAFUNZO YA UHAMIAJI KITOGANI, ZANZIBAR

LIVE// SHEREHE YA UWEKAJI JIWE LA MSINGI CHUO CHA MAFUNZO YA UHAMIAJI KITOGANI, ZANZIBAR

MKOBA ALIOUBEBA TUNDU LISSU MAHAKAMAN LEO WAWASHANGAZA WANACHADEMA NA WAHUDHULIAJI...

MKOBA ALIOUBEBA TUNDU LISSU MAHAKAMAN LEO WAWASHANGAZA WANACHADEMA NA WAHUDHULIAJI...

VIDEO ya MAKTABA: ENZI za UHAI za MZEE HIZA wa TANZANIA YETU - BAADA ya RAIS SAMIA KUMPA MILIONI 50

VIDEO ya MAKTABA: ENZI za UHAI za MZEE HIZA wa TANZANIA YETU - BAADA ya RAIS SAMIA KUMPA MILIONI 50

КОНТРУДАР ВСУ. ХРОНИКА ВОЙНЫ. БАНКРОТСТВО СТРАТЕГИИ. СЕРГЕЙ ПЕРЕСЛЕГИН

КОНТРУДАР ВСУ. ХРОНИКА ВОЙНЫ. БАНКРОТСТВО СТРАТЕГИИ. СЕРГЕЙ ПЕРЕСЛЕГИН

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI ALIYOTOA KWA WAKURUGENZI WA HAMASHAURI,JULY 12,2016 IKULU DSM mp4

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI ALIYOTOA KWA WAKURUGENZI WA HAMASHAURI,JULY 12,2016 IKULU DSM mp4

ОГО! Алиев публично размазал Путина в Мюнхене: Такого не ждал даже Зеленский. Баку проклинает Москву

ОГО! Алиев публично размазал Путина в Мюнхене: Такого не ждал даже Зеленский. Баку проклинает Москву

HISTORIA YA VITA VYA WAYAHUDI NA WAPALESTINA

HISTORIA YA VITA VYA WAYAHUDI NA WAPALESTINA

BUNGE LIVE | MJADALA WA BAJETI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

BUNGE LIVE | MJADALA WA BAJETI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

Чечня УБИТА ГОРЕМ! Проклятие Кадыровых: был приказ УБРАТЬ Адама. Братская война. Откопали ВСЮ ПРАВДУ

Чечня УБИТА ГОРЕМ! Проклятие Кадыровых: был приказ УБРАТЬ Адама. Братская война. Откопали ВСЮ ПРАВДУ

🔴#TBCLIVE: ZIARA YA WAZIRI MKUU TANGA

🔴#TBCLIVE: ZIARA YA WAZIRI MKUU TANGA

Tazama ukakamavu wa Askari wa uhamiaji waliomaliza mafunzo wakipewa vyeti na Rais Samia

Tazama ukakamavu wa Askari wa uhamiaji waliomaliza mafunzo wakipewa vyeti na Rais Samia

Почему США не могут повторить то, что делали 50 лет назад? Луна стала сложнее?

Почему США не могут повторить то, что делали 50 лет назад? Луна стала сложнее?

MARAIS SABA WA ZANZIBAR MPAKA 2020

MARAIS SABA WA ZANZIBAR MPAKA 2020

Санду плюнула в Путина и поддержала ВСУ! Молдова вырвалась из лап Кремля: битва за Приднестровье

Санду плюнула в Путина и поддержала ВСУ! Молдова вырвалась из лап Кремля: битва за Приднестровье

IFAHAMU  SHULE YA MSINGI ILIYOONGOZA KITAIFA MATOKEO YA DARASA LA NNE USHETU

IFAHAMU SHULE YA MSINGI ILIYOONGOZA KITAIFA MATOKEO YA DARASA LA NNE USHETU

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]