Tunachotaka ni nchi hii kwenda kistaarabu - OMO | GUMZO UPDATES
Автор: Gumzo la Ghassani
Загружено: 2025-12-17
Просмотров: 12259
Описание:
Nini kauli ya Mwenyekiti huyo wa ACT Wazalendo kuhusu hali ya mambo na mwelekeo wa harakati za utatuzi wa mkwamo zinazoendelea? Msikilize hapa mwanzo mwisho, kisha nawe weka maoni yako. Tuambie, je kipi kifanyike wakati huu mpasuko mwengine wa kisiasa ukivinyemelea visiwa hivi vya Bahari ya Hindi?
#Haki #Zanzibar #Pemba #ACTWazalendo #INEC #Haki #GumzoUpdates #Uchaguzi2025
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: