ycliper

Популярное

Музыка Кино и Анимация Автомобили Животные Спорт Путешествия Игры Юмор

Интересные видео

2025 Сериалы Трейлеры Новости Как сделать Видеоуроки Diy своими руками

Топ запросов

смотреть а4 schoolboy runaway турецкий сериал смотреть мультфильмы эдисон
Скачать

MAAGIZO MAZITO: RC MRINDOKO APIGA STOP UKIUKAJI SHERIA ZA ARDHI

Автор: MM MEDIA OFFICIAL

Загружено: 2026-02-24

Просмотров: 84

Описание: Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mhe. Mwanamvua Mrindoko amewaagiza watendaji wa Serikali kuzingatia sheria kwa ukamilifu katika uwekezaji, akisisitiza kuwa ukiukaji wa taratibu za ardhi utachukuliwa hatua stahiki mara moja.

Kauli hiyo imetolewa Februari 23, 2026, katika kikao maalum kilichowakutanisha Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Wakuu wa Taasisi na Wakuu wa Idara na Vitengo, huku RC Mrindoko akisisitiza kuanzishwa kwa madawati ya uwekezaji ili kurahisisha utoaji wa huduma na kuongeza uwazi kwa wawekezaji.

Kikao hicho kililenga kujenga uelewa wa pamoja juu ya tafsiri na utekelezaji wa sheria zinazohusiana na uwekezaji. Ambapo RC Mrindoko amezipongeza Halmashauri na taasisi kwa kuendelea kusimamia masuala ya uwekezaji, akibainisha kuwa juhudi hizo zimechangia kuvutia wawekezaji na kukuza uchumi wa mkoa.

RC amesisitiza Wakurugenzi na Wakuu wa Taasisi zinazohusika na masuala ya ardhi kuzingatia kikamilifu sheria na taratibu za umilikishaji wa ardhi kwa wawekezaji. Amesema lipo Tangazo la Serikali linalozuia utekelezaji wa shughuli takribani 15 kwa wawekezaji wasiokuwa raia wa Tanzania, lakini tangazo hilo halifuatiwi.

“Sheria za uwekezaji na ardhi ni lazima zizingatiwe kikamilifu. Hakuna mtu atakayeruhusiwa kuvunja taratibu zilizowekwa. Mwekezaji yeyote asiye raia wa Tanzania anayejihusisha na shughuli zilizozuiwa kisheria hatua zake zichukuliwe mara moja. Huu ni wajibu wetu kulinda maslahi ya Taifa,” alisema RC Mrindoko.

Vilevile, RC amewaagiza Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi kufanya tathmini ya miradi yote ya maendeleo kwa kipindi cha miaka minne kuanzia mwaka 2026 kurudi nyuma. Tathmini hiyo inalenga kubaini matumizi ya fedha zilizowekwa kwa miradi, kuona iwapo miradi imekamilika na kuanza kutoa huduma, na kubaini changamoto zilizopo ili kuzitatua.

Aidha, RC Mrindoko alisisitiza utaratibu wa usafi kwa mkoa, akisema utaratibu wa kufanya usafi kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi urejee na kila mmoja awajibike kikamilifu katika kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na salama.

Не удается загрузить Youtube-плеер. Проверьте блокировку Youtube в вашей сети.
Повторяем попытку...
MAAGIZO MAZITO: RC MRINDOKO APIGA STOP UKIUKAJI SHERIA ZA ARDHI

Поделиться в:

Доступные форматы для скачивания:

Скачать видео

  • Информация по загрузке:

Скачать аудио

Похожие видео

RAIS SAMIA ALIVYOFYATUA RISASI JUU DODOMA, AZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA

RAIS SAMIA ALIVYOFYATUA RISASI JUU DODOMA, AZINDUA MAKAO MAKUU YA ULINZI WA TAIFA

BAJETI YA MATUMAINI KWA WAKAZI WA MANISPAA YA MOSHI

BAJETI YA MATUMAINI KWA WAKAZI WA MANISPAA YA MOSHI

Selasini aibua mapya kauli ya Dr. Nchimbi, aitaka serikali kukaa na CHADEMA, kumuachia Tundu Lisuu

Selasini aibua mapya kauli ya Dr. Nchimbi, aitaka serikali kukaa na CHADEMA, kumuachia Tundu Lisuu

RC MRINDOKO AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA SHULE YA MCHEPUO WA KIINGEREZA TANGANYIKA DC.

RC MRINDOKO AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA SHULE YA MCHEPUO WA KIINGEREZA TANGANYIKA DC.

HECHE BALAA, AUWASHA MOTO MBELE YA MAHAKAMA KESI YA LISSU BILA HURUMA,

HECHE BALAA, AUWASHA MOTO MBELE YA MAHAKAMA KESI YA LISSU BILA HURUMA, "WANATAKA KUFUTA CHAMA CHETU"

MJANE AZIMIA MBELE YA WAZIRI MKUU BAADA YA KUTAKA KURUSHWA SHILINGI MIL 10 NA HALMASHAURI YA MONDUL

MJANE AZIMIA MBELE YA WAZIRI MKUU BAADA YA KUTAKA KURUSHWA SHILINGI MIL 10 NA HALMASHAURI YA MONDUL

KIHENZILE || NDEGE BINAFSI RUKSA KATAVI: FURSA MPYA YA UWEKEZAJI YAFUNGULIWA MPANDA

KIHENZILE || NDEGE BINAFSI RUKSA KATAVI: FURSA MPYA YA UWEKEZAJI YAFUNGULIWA MPANDA

KWA UCHUNGU: MAMA AMCHOMA MBUNGE KUHUSIKA KUCHUKUA VITU VYAKE/ WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO...

KWA UCHUNGU: MAMA AMCHOMA MBUNGE KUHUSIKA KUCHUKUA VITU VYAKE/ WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO...

MWIGULU amekiwasha ARUSHA

MWIGULU amekiwasha ARUSHA "HAPA HAKUNA CHA UCHUNGUZI MKAMATENI MPAKA ATAKAPOZITAPIKA ZILE EDHA"

RC MRINDOKO: ADA KANDAMIZI MARUFUKU || AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE MPYA TANGANYIKA

RC MRINDOKO: ADA KANDAMIZI MARUFUKU || AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE MPYA TANGANYIKA

BILIONI 1.6 ZA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ZAWASHA TAA YA ELIMU YA UFUNDI MKINGA

BILIONI 1.6 ZA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ZAWASHA TAA YA ELIMU YA UFUNDI MKINGA

DC Urambo apiga Marufuku

DC Urambo apiga Marufuku "ujanja ujanja" kwenye Mauzo ya Tumbaku

ALICHOKISEMA RAIS ENG. HERSI KWENYE IFTAAR ILIYOANDALIWA GSM - MASAKI

ALICHOKISEMA RAIS ENG. HERSI KWENYE IFTAAR ILIYOANDALIWA GSM - MASAKI

MCHUNGAJI MASHIMO AMTAKA ASKOFU GWAJIMA AMUOMBE RADHI KUHANI MUSA, LASIVYO ATAMUANIKA

MCHUNGAJI MASHIMO AMTAKA ASKOFU GWAJIMA AMUOMBE RADHI KUHANI MUSA, LASIVYO ATAMUANIKA

LISSU APATA USHINDI? UMOJA WA MATAIFA WAIKAANGA SERIKALI BILA HURUMA, WAKILI NSHALA ASHINDWA KUVUM..

LISSU APATA USHINDI? UMOJA WA MATAIFA WAIKAANGA SERIKALI BILA HURUMA, WAKILI NSHALA ASHINDWA KUVUM..

MAKABIDHIANO YA MRADI WA NYUMBA PACHA KIJIJI CHA NYAMERAMBO KATA YA KOMASWA

MAKABIDHIANO YA MRADI WA NYUMBA PACHA KIJIJI CHA NYAMERAMBO KATA YA KOMASWA

RC MHITA AWA MBOGO UANDIKISHWAJI WANAFUNZI SHULENI

RC MHITA AWA MBOGO UANDIKISHWAJI WANAFUNZI SHULENI

MAMA AIBUKA NA MALALAMIKO… WAZIRI AMBANIA AFISA ARDHI HAPO HAPO!

MAMA AIBUKA NA MALALAMIKO… WAZIRI AMBANIA AFISA ARDHI HAPO HAPO!

TISEZA YAHAMASISHA UWEKEZAJI WA NDANI KATAVI.

TISEZA YAHAMASISHA UWEKEZAJI WA NDANI KATAVI.

Kutoka Ikulu hadi kesi ya Jaribio la Mauaji: Maisha ya Anasa ya Mtoto wa mwisho wa Mugabe yanatisha

Kutoka Ikulu hadi kesi ya Jaribio la Mauaji: Maisha ya Anasa ya Mtoto wa mwisho wa Mugabe yanatisha

© 2025 ycliper. Все права защищены.



  • Контакты
  • О нас
  • Политика конфиденциальности



Контакты для правообладателей: [email protected]