KAULI YA RPC MSANGI JUU YA UKAGUZI WA MABASI YA WANAFUNZI MWANZA
Автор: GSengo
Загружено: 2017-05-10
Просмотров: 1363
Описание:
SIKU chache baada ya ya kutokea kwa tukio la ajali mkoani Arusha na kusababisha vifo vya watu 32 , Polisi mkoani Mwanza wameanzisha zoezi la ukaguzi wa magari ya shule.
Zoezi hilo limefanyika jana tarehe 10 Mwezi May 2017 katika viwanja vya polisi Mabatini na zaidi yamagari 30 yanayobeba wanafunzi wa shule za msingi na sekondari jijini Mwanza kukaguliwa.
Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Ahmed Msangi ameagiza kila gari la shule linabeba wanafunzi likaguliwe.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: