Hotuba Kuntu ya Mh Innocent L Bashubgwa Kwa Baraza Jipya la Madiwani Karagwe
Автор: H MEDIA
Загружено: 2025-12-02
Просмотров: 67
Описание:
Diwani wa kata ya Chanika ameshinda kwa kura 32 za ndiyo kuwa mwenyekiti wa hamashauri ya wilaya ya Karagwe mkoani Kagera baada ya kupigiwa kura za ndiyo na madiwani wa halmashauri hiyo kutokana na kupitishwa akiwa mgombea pekee wa nafasi hiyo
Kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa na katibu tawala wilaya ya Karagwe Rasul Shandala baada ya uchaguzi wa mwenyekiti na makamu wake Desemba 2, 2025 katika ukumbi wa Angaza mjini Kayanga wilayani Karagwe bw. Longino na makamu wake wamechaguliwa kwa kura zote za madiwani wa halmashauri hiyo
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: