Rais na sakaja wasema ushirikiano wao ni kwa manufaa ya wakazi wa Nairobi
Автор: Undugu TV
Загружено: 2026-02-18
Просмотров: 8
Описание: Rais William Ruto na Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja wametetea hatua yao ya kutia saini mkataba wa ushirikiano kati ya serikali ya kitaifa na kaunti ya Nairobi, wakisema kuwa ni kwa manufaa ya wananchi.Rais, akiwashutumu wanaomtishia Sakaja kwa madai kuwa amepeana kaunti ya Nairobi kwa serikali ya kitaifa, akisema Jiji la Nairobi linahitaji kuboreshwa hadhi yake. Amewasuta wapinzani kwa kueneza siasa za migawanyiko,chuki pamoja na kukosa ajenda ya kuwafaidi wananchi, huku akipigia upato umoja na serikali jumuishi. Fred Wambua na taarifa kamili.
Повторяем попытку...
Доступные форматы для скачивания:
Скачать видео
-
Информация по загрузке: